Tottenham Hotspurs Thread



Hello Mourinho people,
Sonny people,
Lamela people,

It's match day today; vs Fulham. Pointi tatu muhimu leo. Nawaambia watu wangu. Baada ya mechi 4/5 zijazo tuko nafasi ya 3/4. Sababu zinafuata hapa;

1. Wapinzani wote wako kipindi kibaya.
2. Sisi performance ya timu imerudi.
3. Ratiba yetu nyepesi, wapinzani ngumu.
4. Wachezaji muhimu wamerudi.

Angalia morali ya wachezaji kwenye clip ya foot tennis kwenye mazoezi ya jana hapo juu.
 


Jose Mourinho press conference vs Fulham (A).

Mwandishi: Top four or top six?

Mourinho: Top nothing. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ukitaka kumjua vema jamaa msikilize mwenyewe akiongea. Ukisikiliza waandishi wa habari uchwara wakisimulia alichoongea utaishia kumchukia bila sababu.

My take:

Press conference za Uefa/Europa huwa na waandishi wanajitambua. Wanaouliza maswali yanayohusiana na mchezo/kikao husika.

Press conference za kiingereza ni ujinga mtupu, waandishi vichwa vyeupe maswali ya wachezaji wao tu. Mara Joe Rodon afanyeje ili acheze, Dele Alli afanyeje acheze, Dier hachezi, Bale kwa nini kachelewa kupata form?

Baadae pointi tatu muhimu.
 
Ile fighting spirit angalau imerudi, pia game pasua kichwa kama zimeisha. Game kubwa zilizobakia ni dhidi ya Arsenal, Man Utd na Leicester. Wapinzani wakubwa wa Tott bado wana mechi ngumu, timu ikitulia inaweza kurudi kwenye top four.
 
Hello Mourinho people, this is how we line up vs Fulham. Pointi tatu lazima.

✓ Dele Alli anaanza
✓ Bale anaanza pia
✓ Hojbjerg kacheza kila dk tangu ligi ianze
✓ Ni Toby na D Sanchez tena
✓ Matt Doherty is back at RB
✓ Ben Davies is back too at LB

4-2-3-1

#COYS
 
Ben Davies vs Reguilon[emoji848]
 
Tushafanya yetu huko
Noma, lazima wakae. Hapo bado Kane na Bale kuhusika kwenye magoli.

Fulham wameanza kwa kasi ila tumeweza kuwacontain vyema na kuwanyima nafasi ya kucheza mpira wao wanao utaka.

Mwanzo waliitawala midfield yetu ila sasa imerejeshwa.

#COYS
 
Job well done.

FT: Fulham 0-1 Spurs

Next stop: Palace (H)

Ngoja tuangalie Looserpool vs Chelsix

Wakitoa sare ndiyo itakuwa vema zaidi kwetu. Otherwise Chelsix wapigwe tu.
 
Job well done.

FT: Fulham 0-1 Spurs

Next stop: Palace (H)

Ngoja tuangalie Looserpool vs Chelsix

Wakitoa sare ndiyo itakuwa vema zaidi kwetu. Otherwise Chelsix wapigwe tu.
Mechi ilikuwa ngumu. Tumeshinda kwa mbinde, full kudefend second half. Liver na chel6 watoe draw itakuwa nzuri.
 
Mechi ilikuwa ngumu. Tumeshinda kwa mbinde, full kudefend second half. Liver na chel6 watoe draw itakuwa nzuri.
Liverpool inaonekana bado ataendelea kupokea vipigo. Kimahesabu atalala nje ya top six msimu huu. Hata sisi tukishinda mechi ya mkononi tushamhesabu. Kuna watu wameshika nafasi zetu pale top four. Wanapigwa mmoja mmoja.
 
Spurs wamerejea vizuri, kipindi cha pili game ilitulia fresh kabisa. Pamoja na kushinda ni wazi beki zetu bado hazina ubora wa kutosha.
 
FT: Spurs 4-1 Palace

Bale [emoji460][emoji460]
Kane [emoji460][emoji460][emoji148][emoji148]
Son[emoji148]
Doherty [emoji148]

Job well done. Tushawapunguza Looserfools na West ham kwenye msimamo. West ham anaweza kurudi akipata pointi kesho.

Bale is back people, he's back.
 
Spurs wamerejea vizuri, kipindi cha pili game ilitulia fresh kabisa. Pamoja na kushinda ni wazi beki zetu bado hazina ubora wa kutosha.
Yap. Toby analazimishwa kucheza kushoto alipokuwa akicheza Vertonghen. Hiyo inampa shida. D Sanchez anajituma ila tatizo hana quality hiyo. Hojbjerg ni irreplaceable.
 
Yap. Toby analazimishwa kucheza kushoto alipokuwa akicheza Vertonghen. Hiyo inampa shida. D Sanchez anajituma ila tatizo hana quality hiyo. Hojbjerg ni irreplaceable.
Katika ligi kubwa zote za Ulaya, Tottenham ni timu ya pili kufunga magoli 100 ndani ya msimu katika mashindano yote, inatanguliwa na Bayern yenye 106. Wale wakosoaji wa Mou kuwa anacheza mchezo wa kujilinda watuambie haya magoli yamepatikana vipi bila kushambulia.
 
Yap. Toby analazimishwa kucheza kushoto alipokuwa akicheza Vertonghen. Hiyo inampa shida. D Sanchez anajituma ila tatizo hana quality hiyo. Hojbjerg ni irreplaceable.
Zaha alikuwa anampindua Sanchez vile mtu anageuza chapati, Tott ingekuwa na beki iliyotulia, bila shaka Mou angenyanyua vikombe vingine.
 
chenga zinazuia mtu kubeba kombee acha ushabikn wadomon wa yanga na simba
Mkuu, ukiisoma kwa umakini hiyo post ya permanides utaona anachomaanisha. Huyo Zaha hawezi kuwachachafya mabeki kama Ruben Dias, Van Dijk, au Milan Skriniar kama alivyokuwa akifanya jana.

Kimsingi inahitaji kocha anayejua sana kuifundisha hii Spurs. Jana baada ya Zaha kingia na kucheza kati kati ikabidi D Sanchez atoke kulia(RCB) asogee kati, mahali ambapo yeye hapamudu. Toby ndiyo kabisa yuko very slow asingemuweza Zaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…