Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,025
Hello Mourinho people,
Sonny people,
Lamela people,
It's match day today; vs Fulham. Pointi tatu muhimu leo. Nawaambia watu wangu. Baada ya mechi 4/5 zijazo tuko nafasi ya 3/4. Sababu zinafuata hapa;
1. Wapinzani wote wako kipindi kibaya.
2. Sisi performance ya timu imerudi.
3. Ratiba yetu nyepesi, wapinzani ngumu.
4. Wachezaji muhimu wamerudi.
Angalia morali ya wachezaji kwenye clip ya foot tennis kwenye mazoezi ya jana hapo juu.