Tottenham Hotspurs Thread

Wera weraaaaa!.
Huku ngoma inogile, hatua ya kwanza nimepita tena kwa kushangaza wengi naongoza kundi. Sasa hatua hii ya pili inabidi nijizatiti maana huku kwa walume.
Hongereni sana naona njia ya robo fainali nyeupe
 
Naamini leo nina sala za watu wengi wakinitakia kila la kheri ktk mechi ya leo, kwa sala zenu naweza kumuotea huyu simba aliyelowana na kummaliza kabisa.
 
Naamini leo nina sala za watu wengi wakinitakia kila la kheri ktk mechi ya leo, kwa sala zenu naweza kumuotea huyu simba aliyelowana na kummaliza kabisa.


Kazi mnayo ... bundi kalia wapi?
 
...Shedafa,
Sina mengi leo, mmecheza WOTE wapinzani wangu wa jadi.
Wangeshinda Chelsea kusingelalika, kadhalika mngeshinda Spurs oooohh, si kelele hizo.

Anyway...
 
...Shedafa,
Sina mengi leo, mmecheza WOTE wapinzani wangu wa jadi.
Wangeshinda Chelsea kusingelalika, kadhalika mngeshinda Spurs oooohh, si kelele hizo.

Anyway...
Wanasema Kheri ya nusu shari kuliko shari kamili, ila hizi mbeleko nyingine mh!
 
Nawatakia wadau wote wa soka Christmas njema na mwaka 2011 wenye mafanikio.

Wazee wote wa darajani Stamford, Rev Masa, EL NINO, Rev Kishoka, Sanda Matuta, Ab-Titchaz, AljuniorTz na Invisible, bila kusahau wakongwe wa Old Trafford, Manda, Belo, Eqlypz, Idimi na Ngongo, pia washika bunduki wa Emirates, Arsene Wenger, Mbu, Kweli, Wacha1, Balantanda, Baba Mkubwa, Genekai, Questt, Bubu Ataka Kusema na Ng'wanza Madaso,....mzee Shedafa wa WHL na Acid wa Anfield na wengine wote ambao sikuweza kuwakumbuka kwenye post hii, I wish you and your loved ones a Merry Christmas and Happy New Year.
 
Asante sana Peasant almaaruf mzee wa Chelsea, nami nakutakia X-mas njema wewe na wote uwapendao. Mungu akujalie kila la kheri na mafanikio katika kila utendalo katika X-mas hii.
 
Asante sana Peasant almaaruf mzee wa Chelsea, nami nakutakia X-mas njema wewe na wote uwapendao. Mungu akujalie kila la kheri na mafanikio katika kila utendalo katika X-mas hii.


Ahsante sana mkuu!
 
Du, wiki tamu hii!. Tumempumzisha Chelsea nafasi ya 5 kwa muda, na akizubaa ndio imetoka hiyo! Spurs 2 New Castle 0
 






















Hongereni wakuu naona mmewakalia kooni Chelsick khe khe khe kheeeeeeee
 
Tottenham: Gomes, Hutton, Dawson, Gallas, Assou-Ekotto, Lennon, Palacios, Modric, Bale, Van der Vaart, Crouch.
Subs: Cudicini, Jenas, Pavlyuchenko, Defoe, Bassong, Kranjcar, Corluka.
Man Utd: Van der Sar, Rafael Da Silva, Ferdinand, Vidic, Evra, Nani, Carrick, Fletcher, Giggs, Berbatov, Rooney.
Subs: Kuszczak, Owen, Anderson, Smalling, Hernandez, Scholes, Evans.
Referee: Mike Dean (Wirral)
 
"Harry Redknapp and Sir Alex Ferguson field two line-ups filled with the sort of quality that only adds to the anticipation ahead of this eagerly-awaited encounter. Spurs have plumped for Peter Crouch ahead of Jermain Defoe as support for Rafael van der Vaart up front while Wayne Rooney has recovered from his ankle injury to partner Dimitar Berbatov in attack for Manchester United."
 
Tottenham manager Harry Redknapp: "We haven't got a great record against Manchester United but this looks like a more even-matched game and we're playing with lots of confidence, so it should be a cracking game for sure."
 
Spurs play another corner short down their right and when United have the chance to clear Javier Hernandez's pass to Ryan Giggs is short - it falls perfectly for Rafael van der Vaart, 15 yards out on his left foot, but he can only curl over the bar. What an opportunity that was.
 
Spurs na nyie hovyo kabisa badala ya kucheza soka mnaogopa majina ..... ..... ..... hopeless boys.
 
Spurs na nyie hovyo kabisa badala ya kucheza soka mnaogopa majina ..... ..... ..... hopeless boys.
Tumekuwa wateja siku nyingi ndio maana, lakini taratibu uteja tunauacha. Leo droo kesho .........!. Halafu kumbe Questt unaweza utangazaji, yaani kama yule wa BBC!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…