Tottenham Hotspurs Thread

Wewe umeiangalia mechi au unaongea kama mshabiki wa Arsenal anayeichukia Tottenham?

Unataka hata nikienda chooni niombe ruhusa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Thought so.

LOL nawachubiri kesho chacha vipi utabiri wako? Au bado hujaenda kwa yule mzee wa tunguli? Nasikia Luize out na Tor the res kesho anataka kuondoa mkosi kwa kuweka kitu kimiani!
 
Mtoto akililia wembe mpe mnakumbuka walivyokuwa wanasema ...... .... ..





Wakapewa real .... .... ...



















 




Shedafa pole mkuu, tulikwambia huku kwa wazee tu wewe umekalia ubishi maona chacha? Muulize peasant wao wameanza mkakati wa kucheza Europa League mwakani huku mambo yanawaendea kombo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
...Dah, Shedafa na Klorokwini poleni sana jamani. Chukulieni ni Halftime tu hii, mnao uwezo wa kuwachenjia kibao White Hart Lane, au sio?
 
LOL nawachubiri kesho chacha vipi utabiri wako? Au bado hujaenda kwa yule mzee wa tunguli? Nasikia Luize out na Tor the res kesho anataka kuondoa mkosi kwa kuweka kitu kimiani!
Mechi ya kesho mie sina utabiri (kama mpenda michezo) ila kama mnazi obvious nitasema timu yangu itashinda, ila draw itanifaa sana tu.
 
...Dah, Shedafa na Klorokwini poleni sana jamani. Chukulieni ni Halftime tu hii, mnao uwezo wa kuwachenjia kibao White Hart Lane, au sio?
Hehehe wanachotakiwa ni kufunga goli nne bila alafu washinde kwenye penalty shootout, Muno Menezes atafute kipa mwingine tu maana leo makipa wote wa kibrazil wametendwa.

So is Gareth Bale worth 80 million pounds?
 
Mechi ya kesho mie sina utabiri (kama mpenda michezo) ila kama mnazi obvious nitasema timu yangu itashinda, ila draw itanifaa sana tu.

...Kesho nawapa support yangu 100%,...wafungeni hao Chelsea!
 

..Basi baba yamekwisha usilalamike sanaa ehe
 
Hehehe wanachotakiwa ni kufunga goli nne bila alafu washinde kwenye penalty shootout, Muno Menezes atafute kipa mwingine tu maana leo makipa wote wa kibrazil wametendwa.

So is Gareth Bale worth 80 million pounds?




Chacha eti huyu nae kwa pesa kama hiyo labda Manure ndio
wanamuhitaji baada ya Wine kumwagika khe khe khe kheeeeeeeee


GARETH BALE insists Tottenham can pull off the comeback of the century.
The Welsh flyer saw his side sink to a humiliating 4-0 defeat at Real Madrid last night. .... ... . . .





REAL MESS ... Crouch fells Real ace Marcelo for his second yellow

labelled ''beyond stupid'' khe khe khe khe kheeeeeeeeee






BERNAB-OW ... Crouch can't hide his pain



Shedafa njoo ipo mechi ingine leo ... .... ....

 
Shedafa vipi nasikia mnauana huko East London lete habari? Au ndio machozi ya kukosa Olympic stadium?
 
Mechi ya ufunguzi wa ligi ipo maana naona vijana wameamua kufanya vurugu za kufa mtu uko kwenu... Ombeni msaada wa FFU.
 
Sijapita siku nyingi mtaa huu, hamjambo wale wote mnaoitakia mema Spurs?. Wale mnaotumbea mabaya dua zenu hazitasikilizwa.
 
Reactions: Mbu
Sijapita siku nyingi mtaa huu, hamjambo wale wote mnaoitakia mema Spurs?. Wale mnaotumbea mabaya dua zenu hazitasikilizwa.


...hamvumi lakini mmo,...
hhehehehee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…