Wewe umeiangalia mechi au unaongea kama mshabiki wa Arsenal anayeichukia Tottenham?
Thought so.Unataka hata nikienda chooni niombe ruhusa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Thought so.
Mechi ya kesho mie sina utabiri (kama mpenda michezo) ila kama mnazi obvious nitasema timu yangu itashinda, ila draw itanifaa sana tu.LOL nawachubiri kesho chacha vipi utabiri wako? Au bado hujaenda kwa yule mzee wa tunguli? Nasikia Luize out na Tor the res kesho anataka kuondoa mkosi kwa kuweka kitu kimiani!
Hehehe wanachotakiwa ni kufunga goli nne bila alafu washinde kwenye penalty shootout, Muno Menezes atafute kipa mwingine tu maana leo makipa wote wa kibrazil wametendwa....Dah, Shedafa na Klorokwini poleni sana jamani. Chukulieni ni Halftime tu hii, mnao uwezo wa kuwachenjia kibao White Hart Lane, au sio?
Mechi ya kesho mie sina utabiri (kama mpenda michezo) ila kama mnazi obvious nitasema timu yangu itashinda, ila draw itanifaa sana tu.
...Kesho nawapa support yangu 100%,...wafungeni hao Chelsea!
Hehehe wanachotakiwa ni kufunga goli nne bila alafu washinde kwenye penalty shootout, Muno Menezes atafute kipa mwingine tu maana leo makipa wote wa kibrazil wametendwa.
So is Gareth Bale worth 80 million pounds?
GARETH BALE insists Tottenham can pull off the comeback of the century.
The Welsh flyer saw his side sink to a humiliating 4-0 defeat at Real Madrid last night. .... ... . . .
Natafakari kipigo kwanza!
Sijapita siku nyingi mtaa huu, hamjambo wale wote mnaoitakia mema Spurs?. Wale mnaotumbea mabaya dua zenu hazitasikilizwa.