Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
...kwakweli, hata mimi leo nawaombea dua Spuds! Wafungeni Chelsea!!!
Spurs hawana backborne ya kuifunga Chelsea, sio diapers hawa..
Sforza ustaadh Anelka na Didi..Golden boot ni yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...kwakweli, hata mimi leo nawaombea dua Spuds! Wafungeni Chelsea!!!
Spurs hawana backborne ya kuifunga Chelsea, sio diapers hawa..
Sforza ustaadh Anelka na Didi..Golden boot ni yako.
hizi ni dalili za manu kutwaa ubwingwa maana yake chelsea lazima amfunge liverpool na manutd anacheza na totenham next weekend huku totenham akiwa amechoka baada ya ushindi dhidi ya arsenal na chelsea
hizi ni dalili za manu kutwaa ubwingwa maana yake chelsea lazima amfunge liverpool na manutd anacheza na totenham next weekend huku totenham akiwa amechoka baada ya ushindi dhidi ya arsenal na chelsea
Spurs hawana backborne ya kuifunga Chelsea, sio diapers hawa..
Sforza ustaadh Anelka na Didi..Golden boot ni yako.
Siku zote huwa unatabiri vizuri ila sina uhakika na utabiri huu, maana unaonekana kuongozwa na mapenzi. Ngoja tuone, ila nimefurahi wote mmekubali kuwa safari hii hatukuwa wasindikizaji, bali washindani idumu SPURS!mwaka huu tukichukua ubingwa lazima SPURS tuwaalike kwenye party,mmetusaidia sana,i hope mmeridhika na hizi points 6 kutoka kwa arse na chelsick,msikomae sana OT kwani lazima mle kichapo si unajua mkija OT ni kama mbwa kwa chatu!!!!
Siku zote huwa unatabiri vizuri ila sina uhakika na utabiri huu, maana unaonekana kuongozwa na mapenzi. Ngoja tuone, ila nimefurahi wote mmekubali kuwa safari hii hatukuwa wasindikizaji, bali washindani idumu SPURS!
Carrick tunamkubali, ila Berbatov bakini naye. Nani anataka garasa?, tulipokuwa naye mmempa kichwa wee mpaka akawa hataki kucheza kisa anataka kuchezea Man u. Mnaye huyo akiwachosha mrudisheni kwao, safi yetu ya ushambuliaji imekamilika. Ila mkuu siku nyingine mjifunze kutafuta kwiningine, nyie kazi yenu kuibomoa Spurs tu!kumbuka mara yako ya mwisho kushinda OT,hata mkiongoza 2-0 hadi halftime mechi ikiisha mnalala 5-2 teh teh teh teh......by the way tunakuja kumchukua MODRIC na GARETH BALE tunawarudishia CARRICK na BERBATOV!!
Carrick tunamkubali, ila Berbatov bakini naye. Nani anataka garasa?, tulipokuwa naye mmempa kichwa wee mpaka akawa hataki kucheza kisa anataka kuchezea Man u. Mnaye huyo akiwachosha mrudisheni kwao, safi yetu ya ushambuliaji imekamilika. Ila mkuu siku nyingine mjifunze kutafuta kwiningine, nyie kazi yenu kuibomoa Spurs tu!
Hapendwi mtu hapa, tunaweza tukawatoa nishai vilevile ohoo!
Hapendwi mtu hapa, tunaweza tukawatoa nishai vilevile ohoo!
Carrick tunamkubali, ila Berbatov bakini naye. Nani anataka garasa?, tulipokuwa naye mmempa kichwa wee mpaka akawa hataki kucheza kisa anataka kuchezea Man u. Mnaye huyo akiwachosha mrudisheni kwao, safi yetu ya ushambuliaji imekamilika. Ila mkuu siku nyingine mjifunze kutafuta kwiningine, nyie kazi yenu kuibomoa Spurs tu!
Hapendwi mtu hapa, tunaweza tukawatoa nishai vilevile ohoo!