Tottenham Hotspurs Thread

Tottenham Hotspurs Thread

Vichapo non-stop.
watapigwa sana tu niliwaambia kwa mpira wa kisasa Jose hata LIGUE 1 ingempa shida maana anafundisha aina ya mpira wa kuokoa timu isishuke daraja,Jose zamani alikua anasifika kwa mbinu lkn sikuhizi anasifika kwa kulalamika na sidhani kama kipigo cha jana hakusingizia majeruhi wkt mpinzani wake jana alikua na majeruhi wengi kuliko yeye.huu mpira kama wa Jose naona alijaribu kuja nao Arteta ukampa kikombe, akaja nao kwenye ligi akasahau kuwa ligi ni tofauti na mechi za knock out akapigwa weeeeeeeeee mpk akabadili aina ya uchezaji saivi anapata matokeo chanya.ukiacha Spurs ya Poch iliyonivutia zaidi ni ile ya mjomba wa Lampard mzee Redknap ilikua hatari usiombe ukutane na Bale na Lennon ujue beki zako za pembeni hazitapanda siku hiyo,yule Maicon wa Inter milan alijifanya jeuri kupandisha mashambulizi alidhalilishwa nje ndani.dah miaka inaenda kasi sana eti sikuhizi Spurs inatuletea kombolela kwenye soccer hata sijui bwana Daniel aliwaza nn ......
 
watapigwa sana tu niliwaambia kwa mpira wa kisasa Jose hata LIGUE 1 ingempa shida maana anafundisha aina ya mpira wa kuokoa timu isishuke daraja,Jose zamani alikua anasifika kwa mbinu lkn sikuhizi anasifika kwa kulalamika na sidhani kama kipigo cha jana hakusingizia majeruhi wkt mpinzani wake jana alikua na majeruhi wengi kuliko yeye.huu mpira kama wa Jose naona alijaribu kuja nao Arteta ukampa kikombe, akaja nao kwenye ligi akasahau kuwa ligi ni tofauti na mechi za knock out akapigwa weeeeeeeeee mpk akabadili aina ya uchezaji saivi anapata matokeo chanya.ukiacha Spurs ya Poch iliyonivutia zaidi ni ile ya mjomba wa Lampard mzee Redknap ilikua hatari usiombe ukutane na Bale na Lennon ujue beki zako za pembeni hazitapanda siku hiyo,yule Maicon wa Inter milan alijifanya jeuri kupandisha mashambulizi alidhalilishwa nje ndani.dah miaka inaenda kasi sana eti sikuhizi Spurs inatuletea kombolela kwenye soccer hata sijui bwana Daniel aliwaza nn ......
Statistically Arsenal ilikua inaweza kushinda games 6 kati ya 8 alizofungwa katika ligi. The reason ilishindwa kupata magoli ni kukosekana namba 10, baada ya namba 10 kupatikana magoli yanapatikana.
 
Statistically Arsenal ilikua inaweza kushinda games 6 kati ya 8 alizofungwa katika ligi. The reason ilishindwa kupata magoli ni kukosekana namba 10, baada ya namba 10 kupatikana magoli yanapatikana.
ukiwa kama coach na umekosa namba kumi kwenye timu yako kwann usibadilishe mfumo,angetumia hata 4-4-2 kama ambavyo Yanga au Atletico Madrid wanacheza na wanaongoza ligi zao mpk sasa,mfano huwezi kukuta Simba wanatumia 4-4-2 sababu wana Chama,pia ni ngumu kukuta Man UTD wanacheza 4-4-2 sababu wana Bruno.mi naona Arteta ameamua kubadilika kiufundi na naamini atafanikiwa kwa hilo
 
watapigwa sana tu niliwaambia kwa mpira wa kisasa Jose hata LIGUE 1 ingempa shida maana anafundisha aina ya mpira wa kuokoa timu isishuke daraja,Jose zamani alikua anasifika kwa mbinu lkn sikuhizi anasifika kwa kulalamika na sidhani kama kipigo cha jana hakusingizia majeruhi wkt mpinzani wake jana alikua na majeruhi wengi kuliko yeye.huu mpira kama wa Jose naona alijaribu kuja nao Arteta ukampa kikombe, akaja nao kwenye ligi akasahau kuwa ligi ni tofauti na mechi za knock out akapigwa weeeeeeeeee mpk akabadili aina ya uchezaji saivi anapata matokeo chanya.ukiacha Spurs ya Poch iliyonivutia zaidi ni ile ya mjomba wa Lampard mzee Redknap ilikua hatari usiombe ukutane na Bale na Lennon ujue beki zako za pembeni hazitapanda siku hiyo,yule Maicon wa Inter milan alijifanya jeuri kupandisha mashambulizi alidhalilishwa nje ndani.dah miaka inaenda kasi sana eti sikuhizi Spurs inatuletea kombolela kwenye soccer hata sijui bwana Daniel aliwaza nn ......
Hiyo Spurs unayoisifia iliwahi kubeba kikombe gani? Mpira ni matokeo siyo kushambulia tu bila kujilinda kama Leeds. Ni kweli jana Jose alichemka, ila ndiye kocha atakaekabidhi vikombe vya kuweka kabatini. Tunaanza na Carabao ambayo timu yako ilitolewa.
 
ukiwa kama coach na umekosa namba kumi kwenye timu yako kwann usibadilishe mfumo,angetumia hata 4-4-2 kama ambavyo Yanga au Atletico Madrid wanacheza na wanaongoza ligi zao mpk sasa,mfano huwezi kukuta Simba wanatumia 4-4-2 sababu wana Chama,pia ni ngumu kukuta Man UTD wanacheza 4-4-2 sababu wana Bruno.mi naona Arteta ameamua kubadilika kiufundi na naamini atafanikiwa kwa hilo
Utakua hufuatilii mpira. Hata hiyo alitumia, mpaka anamuingiza Smith Rowe formation kibao alishatest
 
watapigwa sana tu niliwaambia kwa mpira wa kisasa Jose hata LIGUE 1 ingempa shida maana anafundisha aina ya mpira wa kuokoa timu isishuke daraja,Jose zamani alikua anasifika kwa mbinu lkn sikuhizi anasifika kwa kulalamika na sidhani kama kipigo cha jana hakusingizia majeruhi wkt mpinzani wake jana alikua na majeruhi wengi kuliko yeye.huu mpira kama wa Jose naona alijaribu kuja nao Arteta ukampa kikombe, akaja nao kwenye ligi akasahau kuwa ligi ni tofauti na mechi za knock out akapigwa weeeeeeeeee mpk akabadili aina ya uchezaji saivi anapata matokeo chanya.ukiacha Spurs ya Poch iliyonivutia zaidi ni ile ya mjomba wa Lampard mzee Redknap ilikua hatari usiombe ukutane na Bale na Lennon ujue beki zako za pembeni hazitapanda siku hiyo,yule Maicon wa Inter milan alijifanya jeuri kupandisha mashambulizi alidhalilishwa nje ndani.dah miaka inaenda kasi sana eti sikuhizi Spurs inatuletea kombolela kwenye soccer hata sijui bwana Daniel aliwaza nn ......
Uko sahihi kabisa mkuu..
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa spurs since 2008. Lkn kuna mambo ambayo naona hayako sawa kabisa kw spurs y mourinho.
1. Mis-trust kwa baadhi ya wachezaji: kuonyesha kuto kumwamin mchezaji kunasababisha poor perfomance. Angalia Dele, Tobby, na wengine kama hao wako tofaut kabisa na wale waliocheza chin ya poch.
2.mbinu mbovu, zisizoendana na mpira wa sasa: hii nafikil mkuu hapo juu kaielezea vzr kabisa: siku hz ili ujilinde ni ushambulie au umiliki mpira otherwise ndo hzo kila siku "individual mistake" mara watu wamesababisha penalti au wameji-score.
3.Squad update: Ili timu iwe vzr lazima uweze kubadil kikosi kadri uwezavyo. Sio kukaa na wachezaj hao hao muda mrefu na hasa wale ambao hawakupi matokeo ya kuridhisha. Man city na chelsea zinafanikiwa sana kweny hili.
4. Team formation and organisation. Leo una formation hii, kesho hii, leo mchezaji fulan kaanza kesho mwingine. Timu haiwez peform. Liverpool wamefanikiw vzr sana kweny hili.
5. Key players. Bado timu inakosa key players hasa kiongoz kwenye defence, attacking (hatuna typical no 10 tokea eriksen atoke). Tunahitaji mtu kama Grelish atakaye kuw na uwezo w kutengenez nafas nyingi, kuongoza mashambuliz, na kumiliki game.

Mourinho akiendelea hii poor peformance, na baadhi y migogoro na wachezaji. Haki ya nani anaweza asiwepo hata fainali y carabao. Levy hawez kubali 2years team isicheze champions league.
 
Hawa Brighton wamempiga livakuku kale kale kamoja ka Ugiriki. Tuache kumsema sana Jose, kuna makocha wana vikosi vya dunia ila changamoto kidogo tu hawashindi kitu.
 
Uko sahihi kabisa mkuu..
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa spurs since 2008. Lkn kuna mambo ambayo naona hayako sawa kabisa kw spurs y mourinho.
1. Mis-trust kwa baadhi ya wachezaji: kuonyesha kuto kumwamin mchezaji kunasababisha poor perfomance. Angalia Dele, Tobby, na wengine kama hao wako tofaut kabisa na wale waliocheza chin ya poch.
2.mbinu mbovu, zisizoendana na mpira wa sasa: hii nafikil mkuu hapo juu kaielezea vzr kabisa: siku hz ili ujilinde ni ushambulie au umiliki mpira otherwise ndo hzo kila siku "individual mistake" mara watu wamesababisha penalti au wameji-score.
3.Squad update: Ili timu iwe vzr lazima uweze kubadil kikosi kadri uwezavyo. Sio kukaa na wachezaj hao hao muda mrefu na hasa wale ambao hawakupi matokeo ya kuridhisha. Man city na chelsea zinafanikiwa sana kweny hili.
4. Team formation and organisation. Leo una formation hii, kesho hii, leo mchezaji fulan kaanza kesho mwingine. Timu haiwez peform. Liverpool wamefanikiw vzr sana kweny hili.
5. Key players. Bado timu inakosa key players hasa kiongoz kwenye defence, attacking (hatuna typical no 10 tokea eriksen atoke). Tunahitaji mtu kama Grelish atakaye kuw na uwezo w kutengenez nafas nyingi, kuongoza mashambuliz, na kumiliki game.

Mourinho akiendelea hii poor peformance, na baadhi y migogoro na wachezaji. Haki ya nani anaweza asiwepo hata fainali y carabao. Levy hawez kubali 2years team isicheze champions league.
Mkuu umentisha unaposema umeanza kushabikia Spurs wayback. Uko serious unaposema Delle Alli na Toby wameanza kuflopp baada ya Jose! Huwa siwashangai hao mashabiki wengine wanaodhani Spurs imeanza kupoteza mwelekeo baada ya Jose kwa sababu najua they are clueless! Ila kwa wewe shabiki unapaswa kuwa na kila update kuhusu timu yako na wachezaji wako. Huo ni wajibu wako.

Kwa mfano. Delle Alli alianza kuflopp wakati wa Poch ila ndiye mchezaji wa kwanza kurejesha kiwango mara tu baada ya Jose kushika timu! Goli mbili assist 3 ndani ya mechi mbili za mwanzo. Baada ya mechi chache za mwanzo, taratibu akaanza kuflopp tena.

Wale waandishi na mashabiki clueless sasa hivi hawataki kukumbuka hilo: wanakomaa na Mourinho kamshusha kiwango Delle Alli. Ndiyo sababu binafsi huwa sipendi kusikiliza Jose Mourinho haters kwa sababu ukiwadai facts hawana.
 
Nyie takataka muna point zetu.
We jamaa jasiri kweli. Unautoa wapi ujasiri huo mzee baba. Leo mnakufa. We subiri hiyo baadae. Sisi ndiyo kaka zenu pale London. Kama mnabisha nendeni mkaangalie msimamo. Tafuta timu kubwa zaidi ya London, yenye pointi nyingi zaidi.
 
Tunawapiga hawa wa blue leo. Jose kajiongeza leo. Naona kapanga kikosi vizuri. Ngoja tusubiri gozi lianze kupigwa.
Screenshot_20210204-220943.jpg
 
Typical poor defending from Dier! Each time we are lost of an individual mistake on defending.
We need good defenders to play that Fucking defensive game of mourinho.
Unless otherwise we re not getting far[emoji19]
Mkuu hapo kwa Dier ni kisiki, hang'oleki hata kwa reki. Alimpa Levy sharti la kusaini mkataba mpya kuwa lazima acheze kama CB. Na Levy akamwambia Jose kuwa anataka Dier abaki hivyo amchezeshe kama CB! Hiyo ndiyo kitu inatutafuna hapo kwenye CB. Hiyo nafasi yake ndiyo kasajiliwa dogo Rodon kama Long-term replacement ya Jan Vertonghen. Kwa hiyo kwa sasa Dier ndiye mlinzi wa zamu.

Kanikera kweli huyu mzungu.
 
Watu wanapiga back pass hata kutuliza mpira hawawezi , hawa wachezaji sjui wameokotwa wapi ,
 
We jamaa jasiri kweli. Unautoa wapi ujasiri huo mzee baba. Leo mnakufa. We subiri hiyo baadae. Sisi ndiyo kaka zenu pale London. Kama mnabisha nendeni mkaangalie msimamo. Tafuta timu kubwa zaidi ya London, yenye pointi nyingi zaidi.
Spurs ni level za akina Fulham na QPR wewe..
Unaijua QPR kwanza??
Mourinho anaifahamu vyema Chelsea.
Msimu huu tumelamba point zetu nne kutoka kwenu.
Asanteni matakataka
 
Back
Top Bottom