OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Sisi ushindi ni hulka yetu mkuu..Dier kawapa goli la zawadi. Sijui alikuwa anawaza nini nae yule. Wamefurahi kweli hawa ma blue.
Hichi kikosi hata Yanga anashinda kiulaini kabisa unasema nj kikosi Bora??Tunawapiga hawa wa blue leo. Jose kajiongeza leo. Naona kapanga kikosi vizuri. Ngoja tusubiri gozi lianze kupigwa.View attachment 1694689
shida kubwa ni mbinu za bwana Jose timu kama Spurs inafungwaje mechi tatu kirahisi hivi,mi sitaki kuamini kuumia kwa Kane ndo kufanye timu imalize mechi na mashuti mawili tu yaliyolenga lango.itoshe kusema tu Man City wako pale sababu ya Pep,Liverpool wapo pale sababu ya Klopp hata Spurs wapo hapo walipo sababu ya Mourinho.mpira waliocheza leo Spurs hasa kipindi cha kwanza kama watacheza kwnye fainali na City basi itawekwa record mpya ya magoli siku hiyo.Uko sahihi kabisa mkuu..
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa spurs since 2008. Lkn kuna mambo ambayo naona hayako sawa kabisa kw spurs y mourinho.
1. Mis-trust kwa baadhi ya wachezaji: kuonyesha kuto kumwamin mchezaji kunasababisha poor perfomance. Angalia Dele, Tobby, na wengine kama hao wako tofaut kabisa na wale waliocheza chin ya poch.
2.mbinu mbovu, zisizoendana na mpira wa sasa: hii nafikil mkuu hapo juu kaielezea vzr kabisa: siku hz ili ujilinde ni ushambulie au umiliki mpira otherwise ndo hzo kila siku "individual mistake" mara watu wamesababisha penalti au wameji-score.
3.Squad update: Ili timu iwe vzr lazima uweze kubadil kikosi kadri uwezavyo. Sio kukaa na wachezaj hao hao muda mrefu na hasa wale ambao hawakupi matokeo ya kuridhisha. Man city na chelsea zinafanikiwa sana kweny hili.
4. Team formation and organisation. Leo una formation hii, kesho hii, leo mchezaji fulan kaanza kesho mwingine. Timu haiwez peform. Liverpool wamefanikiw vzr sana kweny hili.
5. Key players. Bado timu inakosa key players hasa kiongoz kwenye defence, attacking (hatuna typical no 10 tokea eriksen atoke). Tunahitaji mtu kama Grelish atakaye kuw na uwezo w kutengenez nafas nyingi, kuongoza mashambuliz, na kumiliki game.
Mourinho akiendelea hii poor peformance, na baadhi y migogoro na wachezaji. Haki ya nani anaweza asiwepo hata fainali y carabao. Levy hawez kubali 2years team isicheze champions league.
Timua huyo mshenzi kocha kwanza kaharibu Soka zuri la Spursshida kubwa ni mbinu za bwana Jose timu kama Spurs inafungwaje mechi tatu kirahisi hivi,mi sitaki kuamini kuumia kwa Kane ndo kufanye timu imalize mechi na mashuti mawili tu yaliyolenga lango.itoshe kusema tu Man City wako pale sababu ya Pep,Liverpool wapo pale sababu ya Klopp hata Spurs wapo hapo walipo sababu ya Mourinho.mpira waliocheza leo Spurs hasa kipindi cha kwanza kama watacheza kwnye fainali na City basi itawekwa record mpya ya magoli siku hiyo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tatizo ni likocha limekuwa garasaWatu wanapiga back pass hata kutuliza mpira hawawezi , hawa wachezaji sjui wameokotwa wapi ,
Yeah,, tuna support team yetu. Mpira ni burudani, chagua ucheze ngoma ipi.Nimeshangaa kwa mara ya kwanza kumbe spurs wana uzi wao humu
Hawa ni mamluki
Haki yenu kuongea. Maana pointi mlizibeba, japo kwa goli la zawadi.Spurs ni level za akina Fulham na QPR wewe..
Unaijua QPR kwanza??
Mourinho anaifahamu vyema Chelsea.
Msimu huu tumelamba point zetu nne kutoka kwenu.
Asanteni matakataka
Kwa hyo wew jukwaa ni la kwako boss , Mpira gani unajua we?? Una miaka mingap Kwanza?? Mbna unaonekana teenager Sana na ujinga mwingi mwingi, et hii thread ni special Kwa watu sjui watu gan , na was was matokeo yako ya form four ulipata zero ..... Au wewe na hao Wana wako ndo mpo official assigned kuchambua mechi za spurs?? hili ni jukwaa huru , sina haja ya kuangalia post za hao unaowaita Wana, wakat timu inafanya hovyo currently ,timu inafungwa mara tatu mfululizo ikiwa na on-target moja sjui mbili ndani ya mechi tatu ....Hakuna kitu sipendi kwenye hii thread kama clue less posts kama hizi. Mara ya mwisho huyo Dele Alli umemwangalia lini. Dribble yake ya mwisho umeiona lini? Samahani mkuu, ila ndiyo hivyo. Hii thread ni special kwa ajili ya mashabiki wanaojua na kufuatilia mpira. Soma kwanza posts za wana hapo juu kabla hujaanza kuandika vitu usivyojua.
Duuh,,Ndombele mbona anaucheza mwingi tu recently?..hivi unaangalia mechi kweli?Kiuhalisia timu ilikuwa Bora sana , Dele Ali+ Son+ Kane + Moura
Mourinho ameleta watu wake wa hovyo hovyo , wanaogopa mpira wanakimbia kama chimpazee, hao akina sisoko , Ndombele na huyo central defender hovyo kabisa , CD ndo kasababisha magoli mengi Sana mana hata kutuliza mpira hajui , .....
Jana kasababisha penati ya kisenge Sana , mechi ya Liverpool kasababisha magoli yote yeye mana kutuliza mipira hawezi ......
Jana dk 30 za mwisho akina Moura wamekiamsha Sana alaf jamaa hawaamini sjui anataka mijitu yake akina Ndombele , sjawah kuwaamin waafrika Mimi tena wanaotembea na visado vya ugali tumboni.. Delle Ali bado ni mtu mhimu Sana kwenye hii timu , hakuna haja ya kuwatse money kutafta mtu mwingine....aah pona pona ya Mou amalize top four na achukue Europa , au vikombe viwili vya mbuzi FA na kile kingine , tofaut na hapo atimuliwe tuu
Dier kimeo mkuu, Ndombele too lazyDuuh,,Ndombele mbona anaucheza mwingi tu recently?..hivi unaangalia mechi kweli?
Ishu ya Spurs ni kukosekana kwa Reguilon,Kane..na pia kukosekana kwa Centreback partneship ya kueleweka..huyo Dier hana tofauti na Jones wa United.
yaan huyo mwamba anajikuta kama ana hisa pale Spurs ukiongea ukweli anachukia,baada ya kuachana na Jose ilibidi bwana Levvy alete kocha ambae hapishani sana aina ya mpira na wapo wengi tu kama vile kocha wa LYON,AJAX,LEIPZIG,LEICESTER nk.wao wakaangalia uzoefu wakachukua yule mropokaji mwishowe anawafundisha kucheza soka la kombolela muda wote wanajificha.Sio siri nilimtazama Son pale Anfield alikaba mpk alitepeta,pia rejea mechi ya jana Son alicheza chini sana yaan muda mwingi alitumia kumkaba James ambae alikuwa huru mno sababu ya Spurs kuwa chini kwa dk zaid ya 70.Jose ana mpira mbovu pia kaishiwa mbinu na kwa aina ya makocha waliopo EPL kwasasa atapata shida sana sio kwa Spurs tu hata apewe City atapigwa kila leo.Kwa hyo wew jukwaa ni la kwako boss , Mpira gani unajua we?? Una miaka mingap Kwanza?? Mbna unaonekana teenager Sana na ujinga mwingi mwingi, et hii thread ni special Kwa watu sjui watu gan , na was was matokeo yako ya form four ulipata zero ..... Au wewe na hao Wana wako ndo mpo official assigned kuchambua mechi za spurs?? hili ni jukwaa huru , sina haja ya kuangalia post za hao unaowaita Wana, wakat timu inafanya hovyo currently ,timu inafungwa mara tatu mfululizo ikiwa na on-target moja sjui mbili ndani ya mechi tatu ....
Lazima tukosoe tuu ,na kocha akizingua zaidi lazima afukuzwe tuu hakuna namna , wachezaji hawajui kutuliza mpira , back pass za hovyo hovyo
Nashukuru mkuu kwa kunisaidia kumwelewesha huyo mchambuzi wa soka aliyenishangaza kwa stori zake zinazoonesha hafuatilii mchezo. Huu mchezo ni mzuri sana haijalishi ni matokeo gani timu zetu zinapata.Duuh,,Ndombele mbona anaucheza mwingi tu recently?..hivi unaangalia mechi kweli?
Ishu ya Spurs ni kukosekana kwa Reguilon,Kane..na pia kukosekana kwa Centreback partneship ya kueleweka..huyo Dier hana tofauti na Jones wa United.
Morali + confidence pia ipo chini..kazi ya kocha hii
Mkuu mizuno naomba nikuhakikishie kuwa nakubali sana post zako na za wengine pia. Ubishi wala haumaanishi chuki wala kwamba najua sana.yaan huyo mwamba anajikuta kama ana hisa pale Spurs ukiongea ukweli anachukia,baada ya kuachana na Jose ilibidi bwana Levvy alete kocha ambae hapishani sana aina ya mpira na wapo wengi tu kama vile kocha wa LYON,AJAX,LEIPZIG,LEICESTER nk.wao wakaangalia uzoefu wakachukua yule mropokaji mwishowe anawafundisha kucheza soka la kombolela muda wote wanajificha.Sio siri nilimtazama Son pale Anfield alikaba mpk alitepeta,pia rejea mechi ya jana Son alicheza chini sana yaan muda mwingi alitumia kumkaba James ambae alikuwa huru mno sababu ya Spurs kuwa chini kwa dk zaid ya 70.Jose ana mpira mbovu pia kaishiwa mbinu na kwa aina ya makocha waliopo EPL kwasasa atapata shida sana sio kwa Spurs tu hata apewe City atapigwa kila leo.
Huyo dogo ana Tabia za form one , ile ukiwa unajua majina ya wachezaji wote bas wewe ndo unajua mpira , mara nyingi mijitu ya namna hii mkicheza ndondo ukampasia mpira anakimbiza af anapiga nje😋......yaan huyo mwamba anajikuta kama ana hisa pale Spurs ukiongea ukweli anachukia,baada ya kuachana na Jose ilibidi bwana Levvy alete kocha ambae hapishani sana aina ya mpira na wapo wengi tu kama vile kocha wa LYON,AJAX,LEIPZIG,LEICESTER nk.wao wakaangalia uzoefu wakachukua yule mropokaji mwishowe anawafundisha kucheza soka la kombolela muda wote wanajificha.Sio siri nilimtazama Son pale Anfield alikaba mpk alitepeta,pia rejea mechi ya jana Son alicheza chini sana yaan muda mwingi alitumia kumkaba James ambae alikuwa huru mno sababu ya Spurs kuwa chini kwa dk zaid ya 70.Jose ana mpira mbovu pia kaishiwa mbinu na kwa aina ya makocha waliopo EPL kwasasa atapata shida sana sio kwa Spurs tu hata apewe City atapigwa kila leo.
Mkuu leo umekuwa mkweli pengine kuliko siku zote. Bila mkoba unaoeleweka bado Spurs wata struggle, Eric Dier ni mtambo wa penalties ule. Pia Spurs inabidi watafute mfumo/ wachezaji ambao wanaweza kushinda game hata bila ya Harry Kane kuwepo.Duuh,,Ndombele mbona anaucheza mwingi tu recently?..hivi unaangalia mechi kweli?
Ishu ya Spurs ni kukosekana kwa Reguilon,Kane..na pia kukosekana kwa Centreback partneship ya kueleweka..huyo Dier hana tofauti na Jones wa United.
Morali + confidence pia ipo chini..kazi ya kocha hii