Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,025
Mkuu, nakukumbusha tu. Jose kaikuta timu iko pointi 3 karibu na relegation zone na pointi 12 nyuma ya timu ya nne (top 4). Kwa hapo tulipo sasa kaiharibu au anairejesha kwenye msitari?Mimi nalichukia likocha limetuharibia timu, haiwezekani kila mechi ni kichapo tuu
Jana timu imecheza bhana , nafkr ni mechi Bora kabisa ya FA kwa msimu huu , kuna some defensive error zinaigharimu Timu ....Aisee, noma. Umenifurahisha sana permanides . Hizi timu tunazipenda ila lazima tuwe tunzijua vema. Kabati letu lina kakombe kamoja tu enzi hizo kanaitwa Carling Cup. Hapo unaambiwa tumeharibiwa timu.
Nadhani tuwe na subira. Project zinazofanikiwa zote huchukua muda. Tena kwa mmiliki bahili kama Levy tusitarajie mafanikio ya mara moja.
Kumlaumu kocha kwa mechi kama ya jana ni kutarajia makubwa sana. Mchezo tulipaswa kuumaliza half time ukiangalia nafasi tulizotengeneza.
Kocha hawezi kuingia miguuni mwa Moura na Lamela akaifanyie renewal. Muda wao uko mwishoni. Mimi nafikiri tuko kwenye mwelekeo mzuri tu.
Tukiimarisha kikosi dirisha lijalo tutarudi msimu ujao tukiwa washindani wa ukweli.
#COYS
Jana timu imecheza bhana , nafkr ni mechi Bora kabisa ya FA kwa msimu huu , kuna some defensive error zinaigharimu Timu ....
Jiandae kuhama tena timu, Tuchel mepigwa mchana kweupe, ni mzuka tu amekuja nao soon utakataHuu utopolo umetundikwa tano juzi, inafaa nyie mashabiki mrudi kwenye timu zenu za zamani. Hapa najuwa wengi ni Arse8 na manyumbu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Yeah. Kama kuna kitu timu yetu iko consistent, ni kwenye kufanya defensive errors.Jana timu imecheza bhana , nafkr ni mechi Bora kabisa ya FA kwa msimu huu , kuna some defensive error zinaigharimu Timu ....
Tatizo ni kutobadilisha kikosi kw muda mrefu,, hasa back line na midleYeah. Kama kuna kitu timu yetu iko consistent, ni kwenye kufanya defensive errors.
Well said mkuu. Levy anastahili saluti kwa namna alivyoitransform Spurs nje ya uwanja. Amefanya kazi ambayo timu zingine zimeshindwa kufanya pamoja na kuwa na pesa za mafuta na za Wachina au Waasia wengine: City, Wolves, Leicester, PSG, nk.Tuwe realistic kidogo, kombe recently Tottenham ililochukua ni Carling cup nadhani zaidi ya miaka 5 iliyopita. Tottenham imechukua kombe la ligi kwa mara ya mwisho mwaka 1961 mpaka leo haijachukua kikombe cha kueleweka.
Rednkap na Pochetino walikuwa na amsha amsha lakini hakuchukua kikombe chochote.
Ila pia uendeshaji wa mpira umebadilika sana, mwanzano tulizoea kuona academy players wakiendelezwa taratibu na kuwa ndio chimbuko la wachezaji wa senior team. Ila kwa sasa mwenye mkwanja mrefu ndio mwenye uwezekano wa kupata mafanikio kwa haraka.
Mou tokea msimu uliopita alihitaji kuimarisha ulinzi na ushambuliaji ila kila mmoja anaona aina ya wachezaji waliopatikana na umuhimu wa kile mou alichoimanisha.
Ukichukua usajili wote wa Tottenham wa msimu uliopita ni kama sawa na usajili wa Timo Warner. Wachezaji wa Tottenham iliyosajili walikuwa wa kawaida sana ila wa kimkakati tu. Tottenham ikitaka mafanikio ya haraka pia ikubali kupambana na timu pinzani katika usajili, siyo unanunua wachezaji wa buku jero afu unataka kupata mafanikio kwa haraka zaidi ya wale waliowekeza mamilioni.
Respect mkuu. Mimi naomba nijaribu kujibu swali lako kuhusu Leicester. Nitakutajia nafasi mbili tu. Hizo nyingine ukafuatilie wewe mwenyewe ili usije kusema namtetea sana Jose.furaha yangu kuona Mourinho anapigwa kila leo ili mjue timu haina kocha,najua wengi wanamtetea kocha kuwa hajapata wachezaji wa maana ndomaana mipango ya ushindi inafeli.hivi kwa mchezaji mmojammoja Leicester anamzidi wapi Spurs...Mou kaishiwa atapigwa kila leo na pira lake bovu hata kuvuka mstari wa kati ni shida.1hlf no shot on target na una washambuliaji wako wote mbele yani kwa timu inavyokaa nyuma itagawa penati kila siku na humu kwenye hili jukwaa la mashabiki mnaojua mpira kuliko wote Tanzania sitoki mpk bwana Jose atimuliwe.
unasema Mourinho hakufanikiwa na Real Madrid???Kuna vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kueleweka kuhusu SPURS.
1. Usajili na better scouting.
Naomba tukumbuke, ni lini spurs iliweza kusajili wachezaji wazuri. Wote tutakubaliana nami kwamba ni kipindi kabla Gareth Bale hajauzwa. Maake hela ya Bale pale tulibahatika tu kupata Eriksen wengine wote viwango vya kawaida mno(including Lamela). Miongon mwa wachezaji ambao waliletwa tangu hapo n pamoja na Roberto Soldado, Chiliches, hotberg, David sanchez, (ambao wote walikua ni typical Flopy players) atleast (Lamela, chadli, wanyama, ) wakali ni Son
#Kuna chief scouting nakumbuka alifukuzwa ambaye alikua fundi, na nakumbuka aliletaga watu kama (Dele Ali, Toby, Jan, n.k)#
Ili team ifanye vizur ni muhimu sana kuwa na sajili zenye manufaa, kuna kipindi hapo tumekwama sana kwenye hili
2. Game tactics.
Game tactics ya mourinho ni Defensing,,
KWANINI MBINU HIZO HIZO ZA KUJILINDA ALIFANIKIWA NAZO, CHELSEA NA TEAM ZINGINE HUKO NYUMA LKN SIO MAN U, SPURS NA MADRID??
1, Aina ya wachezaji aliokua nao. Huwezi ukafanikiwa na hii mbinu kama hauna wachezaji wazuri kwenye ulinzi na kufanya mashambulizi ya kushitukiza. Je, kwa spurs ya sasa anamlinzi gn anayeweza akalinda kweli?? (Kama kipind yuko na akina John Telly, Essein, Obi, na Cole pale chelsea) wakati huo huo ana team yenye washambuliaji makini pia, wakifika golini ni Goli,,.
2. Huwezi ukalinda,, kwa kila muda kukaba tu,, the whole team.
Wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana, wanachoka,, huku wasipate matokeo mazuri.
Mpira wa sasa, ili ujilinde ni lazima either uwe unashambulia, au umiliki mpira. Vinginevyo ndo hizo individual errors zisizo koma na sasa technologia tukiwa na VAR.
NINI KIFANYIKE.
Kuna haja kubwa sana ya, kuwa na
1.scouting team nzuri.. sio kuleta wachezaji hata hawana msaada kwenye team,, eti kisa wana uzoefu au ni bei nafuu.
Kumbuka: msimu mwakajuzi tuliofika nusu fainali UEFA hatukisajili lkn team wachezaji wengi walikua wako kwenye peak nzuri. Na angepatikana mmoja tu (Dyabala)kama wataalamu wanavyosema,, labda tungebebaga ile ndoo.
2. Kocha anaye endana na mpira wa sasa.
Mourinho kwa sasa,, kaishiwa mbinu team zishamjua na hanaga mbinu nyingind yeyote ya ziada.
Better tukapata kocho mwingine,, ataye ruhusu team ifanye plessing kama spurs iliyozoeleka machon pa watu.
As currently neither we enjoy playing footbal or Results.
3. Scoud update,,
Team ili ifanye vzr lazima tubadili kikosi mara kw mara.
MAONO YANGU NI HAYO.
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
[emoji4] Nakubali mkuu.unasema Mourinho hakufanikiwa na Real Madrid???
Mourinho alifanikiwa kuchukua ubingwa mbele ya timu bora ya karne ( barca ya messi, xavi na iniesta).
Mourinho aliweka rekodi ya kuchukua ubingwa kwa pointi na magoli mengi.
Mourinho ndiye aliyefuta uteja wa Real Madrid kuishia hatua ya Mtoano Uefa.
Mourinho alimmbadilisha Ramos from RB to CB bora duniani.
Real Madrid iliyochukua champions league 2014 na 2016 backbone yake ilisukwa na Mourinho..
Hapa umepuyanga sana.
Mkuu, nimependa sana uchambuzi wako. Ila kwenye issue ya scouting na utaratibu wa kununua mchezaji, Spurs ni miongoni mwa timu zenye structure nzuri zaidi. Mimi nadhani kikwazo ni mwenyekiti mtendaji bwana Levy.Kuna vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kueleweka kuhusu SPURS.
1. Usajili na better scouting.
Naomba tukumbuke, ni lini spurs iliweza kusajili wachezaji wazuri. Wote tutakubaliana nami kwamba ni kipindi kabla Gareth Bale hajauzwa. Maake hela ya Bale pale tulibahatika tu kupata Eriksen wengine wote viwango vya kawaida mno(including Lamela). Miongon mwa wachezaji ambao waliletwa tangu hapo n pamoja na Roberto Soldado, Chiliches, hotberg, David sanchez, (ambao wote walikua ni typical Flopy players) atleast (Lamela, chadli, wanyama, ) wakali ni Son
#Kuna chief scouting nakumbuka alifukuzwa ambaye alikua fundi, na nakumbuka aliletaga watu kama (Dele Ali, Toby, Jan, n.k)#
Ili team ifanye vizur ni muhimu sana kuwa na sajili zenye manufaa, kuna kipindi hapo tumekwama sana kwenye hili
2. Game tactics.
Game tactics ya mourinho ni Defensing,,
KWANINI MBINU HIZO HIZO ZA KUJILINDA ALIFANIKIWA NAZO, CHELSEA NA TEAM ZINGINE HUKO NYUMA LKN SIO MAN U, SPURS NA MADRID??
1, Aina ya wachezaji aliokua nao. Huwezi ukafanikiwa na hii mbinu kama hauna wachezaji wazuri kwenye ulinzi na kufanya mashambulizi ya kushitukiza. Je, kwa spurs ya sasa anamlinzi gn anayeweza akalinda kweli?? (Kama kipind yuko na akina John Telly, Essein, Obi, na Cole pale chelsea) wakati huo huo ana team yenye washambuliaji makini pia, wakifika golini ni Goli,,.
2. Huwezi ukalinda,, kwa kila muda kukaba tu,, the whole team.
Wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana, wanachoka,, huku wasipate matokeo mazuri.
Mpira wa sasa, ili ujilinde ni lazima either uwe unashambulia, au umiliki mpira. Vinginevyo ndo hizo individual errors zisizo koma na sasa technologia tukiwa na VAR.
NINI KIFANYIKE.
Kuna haja kubwa sana ya, kuwa na
1.scouting team nzuri.. sio kuleta wachezaji hata hawana msaada kwenye team,, eti kisa wana uzoefu au ni bei nafuu.
Kumbuka: msimu mwakajuzi tuliofika nusu fainali UEFA hatukisajili lkn team wachezaji wengi walikua wako kwenye peak nzuri. Na angepatikana mmoja tu (Dyabala)kama wataalamu wanavyosema,, labda tungebebaga ile ndoo.
2. Kocha anaye endana na mpira wa sasa.
Mourinho kwa sasa,, kaishiwa mbinu team zishamjua na hanaga mbinu nyingind yeyote ya ziada.
Better tukapata kocho mwingine,, ataye ruhusu team ifanye plessing kama spurs iliyozoeleka machon pa watu.
As currently neither we enjoy playing footbal or Results.
3. Scoud update,,
Team ili ifanye vzr lazima tubadili kikosi mara kw mara.
MAONO YANGU NI HAYO.
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa sana mkuu Mbeya City Spurs I [emoji106]Mkuu, nimependa sana uchambuzi wako. Ila kwenye issue ya scouting na utaratibu wa kununua mchezaji, Spurs ni miongoni mwa timu zenye structure nzuri zaidi. Mimi nadhani kikwazo ni mwenyekiti mtendaji bwana Levy.
Mchakato wa kununua mchezaji Spurs kwa sasa uko hivi;
Kocha huandaa ripoti za mara kwa mara kwenye kila nafasi na kuikabidhi kwa mkurugenzi wa ufundi (technical director). Kabla ya kuwasilisha ripoti hizo Jose hushauriana na mkuu wa academy kuhusiana na anachotaka kocha kwenye nafasi husika na kile klabu inapaswa kufanya.
Mkurugenzi wa ufundi akipokea ripoti hiyo anajadiliana na Jose kuhusu options walizonazo. Hapa Levy alisisitiza kuwa Jose huwa very specific na profile ya mchezaji anayemtaka.
Wakiishaafikiana kuhusu majina ya wachezaji wanaopendekezwa, anaongezeka mtu mwingine ambaye ni mwanamama mkurugenzi wa fedha. Hapo kwa pamoja wanaifupisha orodha ya wachezaji pendekezwa kwenye nafasi hiyo na hatimaye wanaikabidhi kwa Levy ili afanye maamuzi.
Sasa shida ni hesabu kali za Levy. Kwa mfano, dirisha lililopita Spurs ndiyo timu ya kwanza kumtaka Ruben Diaz ambaye ndiye alikuwa chaguo la kwanza la Jose. Benfica walipotaja bei £m68 Levy kampotezea akaenda City. Option ya pili ilikuwa Milan Skriniar ambaye Inter walitaka €m45 Levy kaona kubwa. Badala yake kaenda Swansea kuchukua chaguo la tatu dogo Joe Rodon ambaye ni mpango wa muda mrefu!
Pia kwenye stricking Jose alimtaka Andrea Bellotti kaletewa Carlos Vinicious.
Vilevile Ikumbukwe kuwa Spurs haina pesa za mafuta. Wamiliki waliinunua timu kwa £m27 na wanategemea gawio kutoka kwenye timu; hawaingizi pesa yao. Hivyo kuna wachezaji ambao ndiyo wanauza zaidi Levy alimwambia Mourinho lazima wabaki.
Eric Dier kwa mfano. Aliapa Spurs sharti ili asaini mkataba mpya. Kwamba lazima acheze CB na si DM alipokuwa akicheza. Mourinho alisema kwenye press conference kuwa Levy alimwambia kuwa anataka Dier abaki. Kwa hiyo Jose akalazimika kumpanga beki ya kati kama bosi anavyotaka!
Hivyo nadhani structure ni nzuri ila tatizo ni hesabu kali za Levy.
dah...mkuu ukiacha hapo kwa Madrid ulipoteleza kibinadamu kiukweli umeandika point tupu na hapo kwa kocha na mbinu zake ndipo mimi ninapopagusia kila leo, inashangaza kuona kuna shabiki wa dunia ya sasa kuridhishwa na mpira wa bwana Jose.kwangu mimi Spurs ilipo sasa nawapa lawama wachezaji kwa 35% na Jose 65% .Spurs hii iliongoza mpaka ligi kipindi fulani akapewa sifa nyingi bwana jOSE leo Spurs matokeo ya kusuasua lawama pia azibebe kama alivyopokea pongeziKuna vitu viwili ambavyo ni muhimu sana kueleweka kuhusu SPURS.
1. Usajili na better scouting.
Naomba tukumbuke, ni lini spurs iliweza kusajili wachezaji wazuri. Wote tutakubaliana nami kwamba ni kipindi kabla Gareth Bale hajauzwa. Maake hela ya Bale pale tulibahatika tu kupata Eriksen wengine wote viwango vya kawaida mno(including Lamela). Miongon mwa wachezaji ambao waliletwa tangu hapo n pamoja na Roberto Soldado, Chiliches, hotberg, David sanchez, (ambao wote walikua ni typical Flopy players) atleast (Lamela, chadli, wanyama, ) wakali ni Son
#Kuna chief scouting nakumbuka alifukuzwa ambaye alikua fundi, na nakumbuka aliletaga watu kama (Dele Ali, Toby, Jan, n.k)#
Ili team ifanye vizur ni muhimu sana kuwa na sajili zenye manufaa, kuna kipindi hapo tumekwama sana kwenye hili
2. Game tactics.
Game tactics ya mourinho ni Defensing,,
KWANINI MBINU HIZO HIZO ZA KUJILINDA ALIFANIKIWA NAZO, CHELSEA NA TEAM ZINGINE HUKO NYUMA LKN SIO MAN U, SPURS NA MADRID??
1, Aina ya wachezaji aliokua nao. Huwezi ukafanikiwa na hii mbinu kama hauna wachezaji wazuri kwenye ulinzi na kufanya mashambulizi ya kushitukiza. Je, kwa spurs ya sasa anamlinzi gn anayeweza akalinda kweli?? (Kama kipind yuko na akina John Telly, Essein, Obi, na Cole pale chelsea) wakati huo huo ana team yenye washambuliaji makini pia, wakifika golini ni Goli,,.
2. Huwezi ukalinda,, kwa kila muda kukaba tu,, the whole team.
Wachezaji wanatumia nguvu nyingi sana, wanachoka,, huku wasipate matokeo mazuri.
Mpira wa sasa, ili ujilinde ni lazima either uwe unashambulia, au umiliki mpira. Vinginevyo ndo hizo individual errors zisizo koma na sasa technologia tukiwa na VAR.
NINI KIFANYIKE.
Kuna haja kubwa sana ya, kuwa na
1.scouting team nzuri.. sio kuleta wachezaji hata hawana msaada kwenye team,, eti kisa wana uzoefu au ni bei nafuu.
Kumbuka: msimu mwakajuzi tuliofika nusu fainali UEFA hatukisajili lkn team wachezaji wengi walikua wako kwenye peak nzuri. Na angepatikana mmoja tu (Dyabala)kama wataalamu wanavyosema,, labda tungebebaga ile ndoo.
2. Kocha anaye endana na mpira wa sasa.
Mourinho kwa sasa,, kaishiwa mbinu team zishamjua na hanaga mbinu nyingind yeyote ya ziada.
Better tukapata kocho mwingine,, ataye ruhusu team ifanye plessing kama spurs iliyozoeleka machon pa watu.
As currently neither we enjoy playing footbal or Results.
3. Scoud update,,
Team ili ifanye vzr lazima tubadili kikosi mara kw mara.
MAONO YANGU NI HAYO.
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
Ukiangalia hata mechi tulizopoteza, Mou anaingia na approach sahihi ila makosa binafsi ndio yanaicost team. Lakini hata hivyo, Tott karibia kamaliza zile fixtures ngumu zote. Naamini game zijazo timu itatulia na vita ya top four itaanza upya. Ila msimu ujao beki na ushambuliaji ni lazima vifanyiwe kazi ili kupata timu ya mashindano.dah...mkuu ukiacha hapo kwa Madrid ulipoteleza kibinadamu kiukweli umeandika point tupu na hapo kwa kocha na mbinu zake ndipo mimi ninapopagusia kila leo, inashangaza kuona kuna shabiki wa dunia ya sasa kuridhishwa na mpira wa bwana Jose.kwangu mimi Spurs ilipo sasa nawapa lawama wachezaji kwa 35% na Jose 65% .Spurs hii iliongoza mpaka ligi kipindi fulani akapewa sifa nyingi bwana jOSE leo Spurs matokeo ya kusuasua lawama pia azibebe kama alivyopokea pongezi
Naongezea tu, Mourinho alimfanya Ozil awe king of assists.unasema Mourinho hakufanikiwa na Real Madrid???
Mourinho alifanikiwa kuchukua ubingwa mbele ya timu bora ya karne ( barca ya messi, xavi na iniesta).
Mourinho aliweka rekodi ya kuchukua ubingwa kwa pointi na magoli mengi.
Mourinho ndiye aliyefuta uteja wa Real Madrid kuishia hatua ya Mtoano Uefa.
Mourinho alimmbadilisha Ramos from RB to CB bora duniani.
Real Madrid iliyochukua champions league 2014 na 2016 backbone yake ilisukwa na Mourinho..
Hapa umepuyanga sana.