Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,718
- 3,488
[emoji23] [emoji23]tukumbushe mechi ipi hiyo walifanyiwa hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]tukumbushe mechi ipi hiyo walifanyiwa hivyo?
Asante sana mkuu.Hongera nyingi ziwafikie Mashabiki wote wa Spurs,,,
Mimi ni shabiki kindakindaki.Tunashukuru sana mkuu kwa pongezi hizi
Hahahhaa we jamaa bana, eti wagumu. Hii wiki mbaya sana yani juzi Chelsea tumepigwa 3 bila daaaaaaahAsante sana mkuu.
Maana watu wagumu sana kutoa hizi pongezi.
Hakuna neno mkuu uwe unapita pita na hukuMimi ni shabiki kindakindaki.
Asante sana mkuuHongereni mashabiki wa spurs.
Spurs 3-1 Madrinyonyo
Vivaa Blaugrana.
Karibu sana jamvini mkuuKumbe shabiki wa spurs mpo?
Ni kweli mkuu watu wagumu sana kutupa pongeziHahahhaa we jamaa bana, eti wagumu. Hii wiki mbaya sana yani juzi Chelsea tumepigwa 3 bila daaaaaaah
Asante .......Karibu sana jamvini mkuu
Spurs kweli??Ni kweli mkuu watu wagumu sana kutupa pongezi
Wanaona kitu cha ajabu.Spurs kweli??
Hahahahahhaha respect mkuu naomba kadi ya uanachamaWanaona kitu cha ajabu.
Ila kama uzi mwanzo unasema hatuvumi ila tumo.
Pamoja mkuuHahahahahhaha respect mkuu naomba kadi ya uanachama
Mkuu,, kwa Mpira wa Spurs na kumfunga Bingwa MteteziAsante sana mkuu.
Maana watu wagumu sana kutoa hizi pongezi.
Asante sana mkuu
Maana wengi wagumu sana kutoa hizi pongezi.