Tottenham yamtimua Pochettino na benchi lote la ufundi. Jose Mourinho ateuliwa kuinoa Klabu hiyo

Tottenham yamtimua Pochettino na benchi lote la ufundi. Jose Mourinho ateuliwa kuinoa Klabu hiyo

Ule moto wa Liverpool hakuna wa kuuzima kwa sasa, Klopp ni mtu hatari kaa nae mbali kama humpendi.
Scousers again!
The unbearable!
 
Baada ya jana Pochetinho kutupiwa virago jana pale White Hartlane, anaetajwa kuchukuwa mikoba ni the special one; najiuliza kwa vipaji vilivyosheni pale Spurs, je Mourinho akitua ndio mwisho wa utawala wa Klopp na Gurdiola pale EPL? Squad ya Spurs ni bora kuliko ya Man Utd, Liver, Arsenal wala Lecester City, na Guardiola pale City anaonekana kachoka.

Je, utawala wa Mourinho utarudi?

Ngoja tuone Spurs ya Mourinho itakavotawala EPL kwa misimu mitatu ijayo!


Mourinho hawez kutua spurs sababu vision za mmiliki na yeye ni tofaut mwenye timu nahili haamini katika
Kuvunja bank kuleta mapro. Mourinho anataka timu yenye kutenga fungu lolote atakalo
 
Spurs' supporters group query decision
Here's the statement from the Tottenham Hotspur Supporters' Trust:

We’re shocked and saddened to hear our club has sacked Mauricio Pochettino and his coaching staff.
During his time at Spurs, Poch gave us many of our best moments as supporters, made Tottenham Hotspur a force to be reckoned with again, and forged a strong link with the fans. We will never forget the joy he brought us.
Of course, results in the league have been disappointing for some time. But many fans thought Poch had earned the right to turn it around in the first sustained period of poor form we’ve had during his time at the blub. We now have to look forward and take stock. But there are questions that must be asked of the board of THFC. The club’s statement makes it clear the board has decided to sack the manager and coaching staff. It is their decision. We question why this decision was taken at the end, rather than the beginning, of the international break. We question whether the timing of the decision leaves the club with much choice in who takes over. To take the decision it has, the board must have a clear plan for what and who comes next. It needs to tell this Club’s supporters what that plan is. And the Board also needs to consider its own role in this.
Is the manager solely accountable? How much has the board’s line on wages and transfers contributed to player unrest and disaffection? How much did it contribute to the situation we now find ourselves in? And will it change to help support a new manager? We’d like to put on record our thanks to Mauricio Pochettino, Jesus Perez, Toni Jiminez and Miguel D'Agostino for the fantastic football and magical moments they have brought us over the last five years.
 
Moderators mbona mnaniharibia uzi wangu?hiyo heading sio ya uzi wangu!!!mna ugua nini moderators???mbona mambo ya hovyo mnaniletea hapa???mnakera sana!!!!unazi wa kijinga huu!!!
Mkuu kwani mods kuchange title ya uzi wako imekufanya upoteze sh ngapi? Mambo mengine yanachosha aiseeeehhh mtu unalalamikia maandishi kama umekatwa kidole,


Aiseeeeh
 
Back
Top Bottom