Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya jana Pochetinho kutupiwa virago jana pale White Hartlane, anaetajwa kuchukuwa mikoba ni the special one; najiuliza kwa vipaji vilivyosheni pale Spurs, je Mourinho akitua ndio mwisho wa utawala wa Klopp na Gurdiola pale EPL? Squad ya Spurs ni bora kuliko ya Man Utd, Liver, Arsenal wala Lecester City, na Guardiola pale City anaonekana kachoka.
Je, utawala wa Mourinho utarudi?
Ngoja tuone Spurs ya Mourinho itakavotawala EPL kwa misimu mitatu ijayo!
Mourinho hawez kutua spurs sababu vision za mmiliki na yeye ni tofaut mwenye timu nahili haamini katika
Kuvunja bank kuleta mapro. Mourinho anataka timu yenye kutenga fungu lolote atakalo
jamaa bado anagombewa kupita maelezo spurrs watajuta kumleta mourinhoDaaah maisha yanaweza kukubadilikia muda wwte, msimu uliopita jamaa alikuwa anagombewa na timu nyingi, leo anaonekana hana uwezo
Mkuu kwani mods kuchange title ya uzi wako imekufanya upoteze sh ngapi? Mambo mengine yanachosha aiseeeehhh mtu unalalamikia maandishi kama umekatwa kidole,Moderators mbona mnaniharibia uzi wangu?hiyo heading sio ya uzi wangu!!!mna ugua nini moderators???mbona mambo ya hovyo mnaniletea hapa???mnakera sana!!!!unazi wa kijinga huu!!!
unabisha hadi unakuwa uselessMourinho hawez kutua spurs sababu vision za mmiliki na yeye ni tofaut mwenye timu nahili haamini katika
Kuvunja bank kuleta mapro. Mourinho anataka timu yenye kutenga fungu lolote atakalo
Dah mibongo bhna,ujuaji mwingiiiiiiMourinho hawez kutua spurs sababu vision za mmiliki na yeye ni tofaut mwenye timu nahili haamini katika
Kuvunja bank kuleta mapro. Mourinho anataka timu yenye kutenga fungu lolote atakalo
Ki ukweli, mi binafsi sioni makubwa kwenye Spurs ya Mourinho, kama alirudi Chelsea akazingua, Man akazingua sidhani kama Spurs atakuwa na jipya.Shabiki wa mourning Mourine bwana!
Kwani hakupewa timu kubwa Man U na kapigwa vya kutosha na Pep au na Klopp?