Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,974
usisahau pia,hata tukiwapa hiyo bil 10 bado na 10% yetu imo humo humo....usisahau kabisa kuhusu hili,ni muhimu sana kuliko hata hicho wanachokiomba
Ifikie wakati watanzania tuukatae huu utaratibu wa kuishi kwa 10% maana ndio uliotufikisha kwenye huu umaskini. Hata ATCL 10% ndio zilizoiua kwa kukodi midege mibovu kisa tu viongozi wa shirika na wizarani wanataka 10% kwenye kila mkataba.