Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,974
usisahau pia,hata tukiwapa hiyo bil 10 bado na 10% yetu imo humo humo....usisahau kabisa kuhusu hili,ni muhimu sana kuliko hata hicho wanachokiomba
Ifikie wakati watanzania tuukatae huu utaratibu wa kuishi kwa 10% maana ndio uliotufikisha kwenye huu umaskini. Hata ATCL 10% ndio zilizoiua kwa kukodi midege mibovu kisa tu viongozi wa shirika na wizarani wanataka 10% kwenye kila mkataba.
..uko sahihi na option zako....nami option yangu kama umenisoma vema ipo hapo kwa government rescue plan....hiyo option ya nne hapo kwako......Swali ni je...serikali yetu hii iliyoshindwa kuwa na shirika lake la ndege itakuwa na courage ya kuwasaidia PA???hili ndilo swali la msingi wa hoja hii.....Yaani mgonjwa anaomba msaada kwa mgonjwa mwenzake....hope you get the logic.....Bahati mbaya mkuu hujajua kuwa kampuni ikiishakuwa na hali kama hii ya PW kwa sasa kuuza shares sio option kwa kuwa hakuna atakayenunua. Kwa hali hiyo ya sasa option za karibu ni nne tu...
Ambacho watanzania hatujui, (may be kwa kuwa serikali yetu ni maskini sana), ni kuwa serikali inao wajibu wa kuyalinda makampuni yake. Hivyo ni wajibu wa serikali kuiokoa PW.
- Merge with other company
- Acquisition by other company
- Liquidation/ death of the company
- Government assistance...
...nimemsoma Mr.Shirima (chairman wa PA) anasema soon wata release financial statement ya 2013...ambayo anasema itakuwa na loss (for the first time).....Issue kubwa waliyonayo sasa ni jinsi ya kulipa madeni kwenye mabenki walimokopa.....hili ndilo linawatafuna...na hata ukisoma hiyo habari ya gazeti inasema pesa wanayotafta sasa kwa bail ni kwa ajili ya ku meet bank credits (kwa maana ya kulipa madeni).....maana mkopo ukikopa bank lazima ulipe....hata kama unajiendesha kwa hasara.....Nimejaribu kupitia Group Audited Financial statement zao za mwaka 2012 ni matusi kuisaidia hii Kampuni,nimeokota baadhi ya takwimu.
All Figures in TZS "000"
1) Consolidated Income Statement
Total Revenue = 163,061,452
Net Operating Profit = 12,564,204
Profit before Tax = 1,840,653
Profit for the year attributable to the owner of parent = 633,797 (Tuwasaidie hawa mkuu nderingosha????)
Earning per share -Basic and Diluted = 3.95
2) Statement of Financial Position
Current Assets = 40,489,187 (Cash and short term deposits only = 6,618,856)
Retained earnings = 14,695,694 (Net Equity = 19,081,980)
Total Equity and Liability = 241,419,805
Tax Payable = 53,649
...nimemsoma Mr.Shirima (chairman wa PA) anasema soon wata release financial statement ya 2013...ambayo anasema itakuwa na loss (for the first time).....Issue kubwa waliyonayo sasa ni jinsi ya kulipa madeni kwenye mabenki walimokopa.....hili ndilo linawatafuna...na hata ukisoma hiyo habari ya gazeti inasema pesa wanayotafta sasa kwa bail ni kwa ajili ya ku meet bank credits.....maana mkopo ukikopa bank lazima ulipe....hata kama unajiendesha kwa hasara.....
...nimemsoma Mr.Shirima (chairman wa PA) anasema soon wata release financial statement ya 2013...ambayo anasema itakuwa na loss (for the first time).....Issue kubwa waliyonayo sasa ni jinsi ya kulipa madeni kwenye mabenki walimokopa.....hili ndilo linawatafuna...na hata ukisoma hiyo habari ya gazeti inasema pesa wanayotafta sasa kwa bail ni kwa ajili ya ku meet bank credits (kwa maana ya kulipa madeni).....maana mkopo ukikopa bank lazima ulipe....hata kama unajiendesha kwa hasara.....
Kwani mwaka wao wa fedha unaishia lini?
All in all malalamiko yake yamelalia kupanda kwa gharama za uendeshaji na mikopo pia lakini tujiulize kusudi la hiyo mikopo ilikuwa ni nini? Tanzania hakuna tatizo la biashara hivyo Total Revenue nategemea iongezeke lakini pia fatilia Current assets zao as at 31 march 2012.
Ukisoma F/S za 2012 naona ni kampuni iliyonona, Sidhani kama wamefikia mahala pa kuitaka serikali iwasaidie mtaji sidhani!!!
Kama tatizo lingekuwa kudoda kwa biashara inaweza kuleta maana kidogo. Anasema alitegemea pension fund wangenunua hisa zao lakini ikawa kinyume!!!!! Kwahiyo unaraise Capital kulipa mikopo?? Wamejipanga hawa kweli?
Kenya Airways inakuja kutununua kirahisi bila shida!! Inahuzunisha sana, poor PA
Do you think KQ are safe? Wenyewe wako kwenye hard time pia. Fatilia wame prune watu kadhaa kazini.
Its no longer at ease
Waliraise mtaji kumodenize fleet yao. Matokeo mabaya ya IPO ndio yamewafanya wasmeet financial obligations zilizotokana na hiyo expansion plan.
Janga la EA nafikiri. Waanze kufunga na kuomba ili hiyo migogoro iwapungue. Bro hivi KASUKU wameishia wapi? mbwembwe nyingi, kumbe hakuna kitu?
Serikali isikwepe wajibu wa kuisaidia Precision Air kipindi hiki ina matatizo. Ni hii hii serikali iliwahi kuyasaidia makampuni yanayofanya biashara ya Pamba baada ya Financial Crisis...
Kwa kuwa Precision Air ni shirika la kitanzania, limeajiri watanzania na limekuwa likilipia kodi mbalimbali hapa Tanzania, si vibaya serikali ikaipa ka stimulus package kujaribu kuliokoa.
Napenda kupingana na dhana kuwa PW ina matatizo kwa sababu na ubia na wakenya kwa kuwa hata KA nayo kwa sasa ina mihangaiko ya kiuchumi. Sidhani kama kutofuata ratiba ya safari na kuahirisha au kuchelewesha safari kila siku inasababishwa na wabia kutoka Kenya. PW wana matatizo ya kiutendaji ambayo wanatakiwa wayatatue, hasa uongozi mbovu.
Waliraise mtaji kumodenize fleet yao. Matokeo mabaya ya IPO ndio yamewafanya wasmeet financial obligations zilizotokana na hiyo expansion plan.