Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Jana nilikuwa na maongezi na baadhi ya wana jf walionipigia simu kwa ajili ya mazungumzo na wengine niliokutana nao katika vikao flani. Tulikuwa tunaongelea ni kwa nini vijana wengi wanashindwa kuchukua fursa zilizopo za kujipatia kipato mfano kilimo na kadhalika.

Ikaonekana kuwa vijana wengi wanapenda kazi rahisi rahisi. Na kazi hizo ikagundulika kuwa ndizo ambazo hazilipi haraka. Na kazi hizo ni za ofisini. Ila kazi zinazochukuliwa kuwa ni ngumu ndizo zinalipa big time mfano kilimo, madini, ufugaji, nk.

Tumegundua kuwa kinachowakwaza watu ni uoga. Uoga wa kuamua kujihusisha na shughuli hizi ili kupata pesa. Lakini watu wenye pesa kwa sasa ni hao wakulima wachimba madini nk. Hivyo tusiogope kujaribu. Hupotezi kitu zaidi ni mwezi tu mfano ukilima matango unatoka
 
Sasa Hizo za Kariakoo ni Fake Mkuu au ?
Jana nilikuwa na maongezi na baadhi ya wana jf walionipigia simu kwa ajili ya mazungumzo na wengine niliokutana nao katika vikao flani. Tulikuwa tunaongelea ni kwa nini vijana wengi wanashindwa kuchukua fursa zilizopo za kujipatia kipato mfano kilimo na kadhalika.

Ikaonekana kuwa vijana wengi wanapenda kazi rahisi rahisi. Na kazi hizo ikagundulika kuwa ndizo ambazo hazilipi haraka. Na kazi hizo ni za ofisini. Ila kazi zinazochukuliwa kuwa ni ngumu ndizo zinalipa big time mfano kilimo, madini, ufugaji, nk.

Tumegundua kuwa kinachowakwaza watu ni uoga. Uoga wa kuamua kujihusisha na shughuli hizi ili kupata pesa. Lakini watu wenye pesa kwa sasa ni hao wakulima wachimba madini nk. Hivyo tusiogope kujaribu. Hupotezi kitu zaidi ni mwezi tu mfano ukilima matango unatoka
Sasa huko kibaha kuna mashamba yakukodi mkuu?
Ulicho kieleza hapo juu kina ukweli ila kuanza kilimo kunahitaji gharama kubwa hasa kama hauna eneo.
 
Watu wengi kwa sasa wameingia kwenye kilimo na wamepata mafanikio waluyokuwa wanataka. Ni kirahisi km ukifuata masharti. Ila wanaoogopa kuingia krk kilimo ni watu wsnaopenda kazi rahisi na km magufuli alivyosema wasiopenda kujishughulisha ndio huwa wanabaki nyuma. Hivyo ktk dunia hata wewe mwenyewe angalia mtaani kwako waliofanikiwa angalia vizuri ni watu wachapakazi na wasioogopa kushindwa






Sasa huko kibaha kuna mashamba yakukodi mkuu?
Ulicho kieleza hapo juu kina ukweli ila kuanza kilimo kunahitaji gharama kubwa hasa kama hauna eneo.
 
Vipi mkuu Biashara2000 riski zilizopo katika hicho kilimo, I mean na changamoto zilizopo na ulizowahi kutana nazo.
By the way asante sana kwa kutufumbua macho heshima yako mkuu.
Naisubiri hio tarehe 6 march.
 
Vipi mkuu Biashara2000 riski zilizopo katika hicho kilimo, I mean na changamoto zilizopo na ulizowahi kutana nazo.
By the way asante sana kwa kutufumbua macho heshima yako mkuu.
Naisubiri hio tarehe 6 march.
Kwa mtu anayelima kilimo cha kubahatisha challenge huwa ni magonjwa na wadudu. Wanahanfaika sana na madawa. Wanaweza piga dawa zaidi ya 15 wakati wangejua wangetumia dawa 3 tu. So changamoto kwa wakulima ni elimu ambapo hufanya kilimo chao k8gumu. Na hiyo ndio challenge iliyonisumbua mwanzoni. Ila sasa kilimo changu sio usumbufu tena
 
Kwa mtu anayelima kilimo cha kubahatisha challenge huwa ni magonjwa na wadudu. Wanahanfaika sana na madawa. Wanaweza piga dawa zaidi ya 15 wakati wangejua wangetumia dawa 3 tu. So changamoto kwa wakulima ni elimu ambapo hufanya kilimo chao k8gumu. Na hiyo ndio challenge iliyonisumbua mwanzoni. Ila sasa kilimo changu sio usumbufu tena
OK mkuu biashara2000 nashukuru nimekuelewa. Niko nasubiria hio tarehe hapo kwa hamu kubwa.
 
Mkuu [HASHTAG]#Biashara2000[/HASHTAG] nimeku pm lakini sijapata majibu. Niko serious na hili jambo nataka kufanya Greenhouse farming ya nyanya. Naomba niambie jinsi gani nikupate tuzungumze vizuri, nahitaji sana ushauri wa kina kabla sijaingia mazima.
 
Ili kuzuia watu wasitapeliwe mbegu, watu wengi wamekuwa wakiuliza hiyo monalifa f1 inafananaje ili wasitapeliwe wanapoenda kununua? Nunua mbegu inayofanana hv

upload_2016-2-27_14-56-57.jpeg
 
Ngoja nikupe mfano. Tuseme unaishi katika nyumba ambayo kwa upande wa nyuma una eneo ambalo lina ukubwa wa upana hatua tano na urefu vile vile. Hivyo 5 x 5 = 25 square meter. Katika kila square meter 1 unapanda miche 4 hivyo x 25 ni miche 100. Kila mche unakupa kilo 15 yaani sawa na ndoo moja na nusu ya nyanya kwa mwezi. Bei ya shambani ukiamua kufanya mia tano x 15 ni sh. 7,500 kwa kila mche kwa mwezi. 7,500 x miche 100 = sh. 750,000 kwa mwezi. Je kwa miezi nane ya uvunaji itakuaje? 6,000,000. Na hii ni bila greenhouse

Je utaendelea kunyanyaswa na bosi wako ulipoajiriwa na kuendelea kumtajirisha mpaka lini?
Shukran mkuu, qa nondo hizi kale kaajira kangu nakaacha
 
Za jioni. Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu semina imetoka kuwa tarehe 6 hadi 7. So hakijaharibika kitu
 
Back
Top Bottom