Tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198 zafungiwa kwa kutangaza Mapenzi ya jinsia moja

Tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198 zafungiwa kwa kutangaza Mapenzi ya jinsia moja

Kwa tovuti sina shidaa ila hizo account za facebook na instagram ndo nashangaa wamezifunga vip...
Nchi inaweza ikafunga aina fulani ya content, just like, TISS au COUNTER TERRORISM (CT), wanaweza kuset kwamba Mtu akipiga simu akitumia Neno fulani basi automatic simu inakuwa directed kwao na wao wanaanza kusikiliza au kusoma convo mnazochat.

Hivyo hivyo kwenye mitandao ya Kijamii zipo huduma za kuweza kublock aina fulani ya Content kwa nchi fulani huwezi andika au sambaza.
 
CARDLESS hiyo ni tofauti na kufunga akaunti ya mtu mmoja mmoja. China wameizuia Google lakini huwezi kuzuia akaunti moja moja ya FaceBook na Instagram kwa kuwa uwezo huo wanao wenye Kampuni zao!!
 
Fuatilia yanayojiri Bungeni kwenye Bunge cha 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 8 leo Aprili 17, 2023.



Akizungumzia hatua zilizochukuliwa kupambana na wanaotangaza mapenzi ya jinsia moja, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198, Twitter 12 vikoa zaidi ya 2,456 vimefungiwa

Awali, Anatropia Lwehikila Theonest aliuliza swali Bungeni kuwa Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu mapenzi ya jinsia moja? Ambapo Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Pauline Philipo Gekul amesema “Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa kinatafsiri Ndoa ni mahusiano ya hiyari kati ya Mwanaume na Mwanamke

Ameongeza “Pia Kifungu cha 154 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu Sura ya 16 kinabainisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kosa la jinai na adhabu yake ni kufungo cha maisha jela au kisichopungua miaka 30 jela.”



Hili Jambo limeshikiwa kidete ni kama kuna watu au taasisi flan ambayo imesema lazima tanzania kuwe na mapenzi ya jinsia moja

Ushoga Tanzania ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo

Most important thing ni upande wa malezi Tu, na wala sio sheria,

Coz hata kama unaweka sheria itafanya kazi vipi while Hilo Jambo ni Jambo la Siri?

Utajuaje kama hawa watu ni mashoga? Kwa ushahidi gani?

Knowledge ya malezi ni Jambo la msingi Sana Kwa sasa
 
Nchi inaweza ikafunga aina fulani ya content, just like, TISS au COUNTER TERRORISM (CT), wanaweza kuset kwamba Mtu akipiga simu akitumia Neno fulani basi automatic simu inakuwa directed kwao na wao wanaanza kusikiliza au kusoma convo mnazochat.

Hivyo hivyo kwenye mitandao ya Kijamii zipo huduma za kuweza kublock aina fulani ya Content kwa nchi fulani huwezi andika au sambaza.
CARDLESS hiyo ni tofauti na kufunga akaunti ya mtu mmoja mmoja. China wameizuia Google lakini huwezi kuzuia akaunti moja moja ya FaceBook na Instagram kwa kuwa uwezo huo wanao wenye Kampuni zao!!
 
Mbona ni rahisi tu TCRA wanaweza wasiliana na makampuni hayo na acc zinafungwa
Tovuti ni rahisi kuzifunga...

ila kwa account za instagram na facebook.. tumepigwa serikali haiwezi tia neno as long hizo account hazijaviolate policy zao huwezi fungia
 
TCRA wana access ya kuweza kublock huduma fulani kwenye nchi hii, iwe specific au General, unaweza kufungiwa.

Umejiuliza mbona Tovuti za Ngono, au ukiingia YOUTUBE akaunti za ngono huzioni?
Tovuti sawa wanaweza kublock zisionekane...
Account moja moja ni uongo, mpka meta wao ndo wazifunge!
 
"The obvious outside of curiosity" yaani ndiyo kitu pekee kwa sasa wanachoweza kujadili na ndiyo mambo watu wetu wa habari wanayoona ni habari.

Sheria zipo na watekelezaji wapo lakini kila siku linajadiliwa kama vile ni jambo jipya linalotakiwa kutungiwa sheria na kuwekewa mkakati wa kupambana nalo.

Si kweli hilo jambo limejadiliwa less than 5 minutes
 
Back
Top Bottom