Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mbona bado kuna accounts nyingi za mashoga naziona mtandaoni?Hii kwamba wao wamefungia acc za fb na insta katupiga kamba!
Wakati zipooo na magroup yapoo watu wanatambaa na kujifaragua na hakuna kilichotokea.Kwa tovuti sina shidaa ila hizo account za facebook na instagram ndo nashangaa wamezifunga vip...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Account ya shangazi yenu na yule bambucha kama hazimo niuongo.
Umemalizaaa kila kituuu.Hili Jambo limeshikiwa kidete ni kama kuna watu au taasisi flan ambayo imesema lazima tanzania kuwe na mapenzi ya jinsia moja
Ushoga Tanzania ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo
Most important thing ni upande wa malezi Tu, na wala sio sheria,
Coz hata kama unaweka sheria itafanya kazi vipi while Hilo Jambo ni Jambo la Siri?
Utajuaje kama hawa watu ni mashoga? Kwa ushahidi gani?
Knowledge ya malezi ni Jambo la msingi Sana Kwa sasa
Kabisaaaa yaan.Tovuti ni rahisi kuzifunga...
ila kwa account za instagram na facebook.. tumepigwa serikali haiwezi tia neno as long hizo account hazijaviolate policy zao huwezi fungia
Mfano ipiKuna accounts za twitter za ngono zimepigwa chini hazionekani tena. Sijui wamefanyaje
Hata hizo tovuti wame block zisionekane public, ila mbna watu wako huko wanaserereka km hakijatokea vitu vilee.Tovuti sawa wanaweza kublock zisionekane...
Account moja moja ni uongo, mpka meta wao ndo wazifunge!
inawezekana kabisa kufungia account ya mtu fb au instaYan walienda kuongea na META wazifungie ama..
kuna kitu nakosa hapa
😀😀😀yan wamewafanya watumie Vpn kuingia then tunakuja kuambiwa wamefungiwa kwel....inawezekana kabisa kufungia account ya mtu fb au insta
kila account ya fb(au insta) inakua na unique URL yake mf: facebook.com/some_unique_id au insta.com/some_unique_id
so wakizi black-list hizo URLs kwenye firewalls zao huko, account haitapatikana tena, mpaka kwa VPN
Hii serikali inatuona wote tupo analogyWakati zipooo na magroup yapoo watu wanatambaa na kujifaragua na hakuna kilichotokea.
Nilimaanisha pages za kibongo😄Tembelea hizo bado zipo
Best X Porn Accounts (2025) - Adult Cam Reviews
X is well-known for its large and horny audience. So, what are you waiting for? Go follow the best porn X accounts.www.adultcamreview.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu hili LINAPE mbona lina kichwa KIKUBWA SANA kama PIPA?
Sasa ndo wamefanya nn hapoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inawezekana kabisa kufungia account ya mtu fb au insta
kila account ya fb(au insta) inakua na unique URL yake mf: facebook.com/some_unique_id au insta.com/some_unique_id
so wakizi black-list hizo URLs kwenye firewalls zao huko, account haitapatikana tena, mpaka kwa VPN
HaswaaaaahHii serikali inatuona wote tupo analogy