Nchi inaweza ikafunga aina fulani ya content, just like, TISS au COUNTER TERRORISM (CT), wanaweza kuset kwamba Mtu akipiga simu akitumia Neno fulani basi automatic simu inakuwa directed kwao na wao wanaanza kusikiliza au kusoma convo mnazochat.Kwa tovuti sina shidaa ila hizo account za facebook na instagram ndo nashangaa wamezifunga vip...
Fuatilia yanayojiri Bungeni kwenye Bunge cha 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 8 leo Aprili 17, 2023.
Akizungumzia hatua zilizochukuliwa kupambana na wanaotangaza mapenzi ya jinsia moja, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198, Twitter 12 vikoa zaidi ya 2,456 vimefungiwa
Awali, Anatropia Lwehikila Theonest aliuliza swali Bungeni kuwa Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu mapenzi ya jinsia moja? Ambapo Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Pauline Philipo Gekul amesema “Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa kinatafsiri Ndoa ni mahusiano ya hiyari kati ya Mwanaume na Mwanamke
Ameongeza “Pia Kifungu cha 154 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu Sura ya 16 kinabainisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kosa la jinai na adhabu yake ni kufungo cha maisha jela au kisichopungua miaka 30 jela.”
Nchi inaweza ikafunga aina fulani ya content, just like, TISS au COUNTER TERRORISM (CT), wanaweza kuset kwamba Mtu akipiga simu akitumia Neno fulani basi automatic simu inakuwa directed kwao na wao wanaanza kusikiliza au kusoma convo mnazochat.
Hivyo hivyo kwenye mitandao ya Kijamii zipo huduma za kuweza kublock aina fulani ya Content kwa nchi fulani huwezi andika au sambaza.
CARDLESS hiyo ni tofauti na kufunga akaunti ya mtu mmoja mmoja. China wameizuia Google lakini huwezi kuzuia akaunti moja moja ya FaceBook na Instagram kwa kuwa uwezo huo wanao wenye Kampuni zao!!
Yan walienda kuongea na META wazifungie ama..
kuna kitu nakosa hapa
Yan walienda kuongea na META wazifungie ama..
kuna kitu nakosa hapa
Mbona ni rahisi tu TCRA wanaweza wasiliana na makampuni hayo na acc zinafungwaYan walienda kuongea na META wazifungie ama..
kuna kitu nakosa hapa
washatuona wote washamba tuuWatakuwa wameamua kudanganya umma live.
Navyojua Mimi serikali haina uwezo wa kufungia hizo akaunti
Huko Gerezani nako si ndio mahala pa kufirana zaidi hata ya uraiani.kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kosa la jinai na adhabu yake ni kufungo cha maisha jela
Tovuti ni rahisi kuzifunga...Mbona ni rahisi tu TCRA wanaweza wasiliana na makampuni hayo na acc zinafungwa
Hamna kitu kama hicho, meta hawana ujinga huoMbona ni rahisi tu TCRA wanaweza wasiliana na makampuni hayo na acc zinafungwa
Tovuti sawa wanaweza kublock zisionekane...TCRA wana access ya kuweza kublock huduma fulani kwenye nchi hii, iwe specific au General, unaweza kufungiwa.
Umejiuliza mbona Tovuti za Ngono, au ukiingia YOUTUBE akaunti za ngono huzioni?
Kuna accounts za twitter za ngono zimepigwa chini hazionekani tena. Sijui wamefanyajeWatakuwa wameamua kudanganya umma live.
Navyojua Mimi serikali haina uwezo wa kufungia hizo akaunti
"The obvious outside of curiosity" yaani ndiyo kitu pekee kwa sasa wanachoweza kujadili na ndiyo mambo watu wetu wa habari wanayoona ni habari.
Sheria zipo na watekelezaji wapo lakini kila siku linajadiliwa kama vile ni jambo jipya linalotakiwa kutungiwa sheria na kuwekewa mkakati wa kupambana nalo.
Hata kama ni kwa nini walijadili. Hii nchi vipaumbele vyake ni nini??Si kweli hilo jambo limejadiliwa less than 5 minutes
Tembelea hizo bado zipoKuna accounts za twitter za ngono zimepigwa chini hazionekani tena. Sijui wamefanyaje