Tovuti 334, akaunti za Facebook 361, Instagram 198 zafungiwa kwa kutangaza Mapenzi ya jinsia moja

Kwa tovuti sina shidaa ila hizo account za facebook na instagram ndo nashangaa wamezifunga vip...
Hapo watupe ufafanuzi, kwa sababu META wanaukubali ushoga, je TCRA walitumia mbinu gani kuwashawishi META wazifunge hizo akaunti, au unaweza kufunga akaunti za FB bila kuwashirikisha META?
 
Jamaa Muongo sana...

Yeye anafunga account kama nani?

Labda hizo website ila sio account za social media. Ni uongo
 
Kwa tovuti sina shidaa ila hizo account za facebook na instagram ndo nashangaa wamezifunga vip...

Hawana uwezo wa kufunga account hasa hizo za twitter, facebook na instagram maana wamiliki wa hizi tovuti ni wa nchi zinazoheshimu hao mashoga. Hapo watakuwa wanadanganyana kwakuwa wengi huko bungeni hawajui kitu kuhusu tehema. Labda tovuti fulani fulani lakini sio account za watumiaji.
 
TCRA wana access ya kuweza kublock huduma fulani kwenye nchi hii, iwe specific au General, unaweza kufungiwa.

Umejiuliza mbona Tovuti za Ngono, au ukiingia YOUTUBE akaunti za ngono huzioni?

Tovuti za ngono wazifungie wakati wao wenyewe wanashinda humo kuziangalia? Hivi kuna watu wanachukulia habari za hilo bunge serious?
 
Ushoga hauna madhara yoyote kwenye Kodi zetu na Tozo zetu ila hao Covid 19 na hao waliobainishwa kupora matrilioni na CAG wana madhara kwenye Wallet zetu.
 
Ushoga hauna madhara yoyote kwenye Kodi zetu na Tozo zetu ila hao Covid 19 na hao waliobainishwa kupora matrilioni na CAG wana madhara kwenye Wallet zetu.
Mbona unaongea kama una elements za huo mchezo?
 
TCRA wana access ya kuweza kublock huduma fulani kwenye nchi hii, iwe specific au General, unaweza kufungiwa.

Umejiuliza mbona Tovuti za Ngono, au ukiingia YOUTUBE akaunti za ngono huzioni?
Hivyo sio kufungia bali wanazuia usifikiwe na ip address ila ukurasa upo pale pale
 
Mbona yale mapunga james nani sijui , yule punga wa wasafi, na yule punga mwingine mweusi ana kitambi hivi bado yanakata mauno tu huko instagram
 
UCHUMI wa TANZANIA imekuwa Kwa asilimia 100 na inakaribia kuwa juu kupita nchi zote za Afrika na dunia!
Bajeti ya kununua V8 Mpya 86 Kwa wizara Fulani.

Nyingine zimefichwa Kule Kisutu Nyuma ya soko na pleti namba zimengolewa!.
Tanza Giza.
 
Tanzania wanafikiri bado wapo kwenye ujima ,Kwa Sasa huwezi kufungia chochote duniani wanapoteza muda tu
 
Hapo watupe ufafanuzi, kwa sababu META wanaukubali ushoga, je TCRA walitumia mbinu gani kuwashawishi META wazifunge hizo akaunti, au unaweza kufunga akaunti za FB bila kuwashirikisha META?
Hii serikali pasua kichwa sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…