Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hazi kustahili kwa sababu hakukuwa na tatizo lolote ambalo lili simamisha mpira kwa mda mrefu.nina huakika refa aliambiwa haondoki pale bila egypt kupata matokeo mazuri.hivi hizo dakika sita zilistahili?maana me sijaangalia mpira huo.
Ilistahili dakika 6,kuna mchezaji wa ALGERIA alipata matibabu karibu dakika moja na nusu, golikipa wao alitumia dakika kama mbili na nusu na dakika kadhaaa za simamasimama za hapa na pale ni saizi kuongezwa muda huo, on top of that the south african referee was good and he managed the game, hakukuwa na kadi ovyo ovyo na alikuwa ha-tolerate nonsenseMaximum ilikuwa dakika 4 tu sio 6.....na bado kawazidishia wapate kufunga na la tatu pia.
Misri wameiharibu mechi nje ya uwanja, kabla ya mechi yenyewe walishafanya hujuma ambazo zimewaharibu ari Waalgeria,tokea wanawasili wamepokelewa kwa mawe,wachezaji wao muhimu wamecheza na majeraha yao, hoteli waliyofikia kulikuwa na kelele za washabiki wa Misiri usiku kucha...wachezaji hawakuweza kupata usingizi na kupumzika vizuri...hata light training yao walifanya kwa hofu ya kuogopa kushambuliwa licha ya ulinzi uliokuwapo uwanjani...imewaathiri kisaikolojia...yaani hata ukipita mitaa ya Cairo unakuta mabango yenye maneno ya kutisha...kama vile kuna vita vya silaha vile...anyway, mpira dakika 90 na kilichotokea ndo kimetokea tungoje marudiano tarehe 18 mwezi huu,nchini SudanSema algeria nao pia sijui huoga ndio uliwasumbua au walienda kutafuta draw manake walikuwa hawashambulii mwanzo wanakaba tu.tusubiri hio mechi ya jumatano.
Algeria leo anachezea kichapo. Mnaojua kituo kitakachoonyesha mtuhabarishe na saa ngapi kwa saa zetu.
hata mimi ningepend kujua kituo kipi kitarusha mechi hii.
nafas nawapa algeria. 2-1