Toyo 150 vs Boxer bm 150

Toyo 150 vs Boxer bm 150

..ebu tupieni picha ya boxer feck na original huku plz tuweze kuzitambua
Boxer original ni zile ambazo tunaziona nyingi mtaani ila feki nimeiona jana dukani yaani ni yofauti kabisa na ile original. Niliyoiona ilikuwa na rangi fulani kama za kijani na nyeusi na imefanana na zile boxer za tairi za offroad wanatumia sana inchi za majangwa kama uarabuni.
 
Kwa uoga wako wa Gharama ni labda ununue kibataVuzi au baiskeli aina ya Chopa zote zina gia kazi kwako
 
mkuu boxer haisimami kwa toyo wanaokwambia habari za boxer naweza sema wanafata ushabiki tu nunua toyo na service yake fanya hata kwa mwezi mara moja ambayo labda yaweza kuwa ni oil au vi indicator kama ulivivunja basi.Toyo ina nguvu sana na na inahimili mizigo mizito bila kuteteleka,unaendesha ukiwa umerelax hata kwa umbali mrefu huumii mgongo wala kiuno wala mabega kwa ajiri ya kuinama kuifata staring .Nakushauri nunua Toyo
ushauri mzuri sana huu
 
Back
Top Bottom