Car4Sale Toyota brevis 4sale

Car4Sale Toyota brevis 4sale

skfull

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
2,944
Reaction score
2,383
Nauza Toyota Brevis bado mpya kabisa
Gari anatumia mzungu yupo Arusha
Gari iko vizuri sana
Full ac
Full documents
Bei milion 9.5
Nipigie 0719909692
0763166893
Karibuni

IMG-20200726-WA0091.jpg
IMG-20200726-WA0090.jpg
IMG-20200726-WA0089.jpg
IMG-20200726-WA0088.jpg
IMG-20200726-WA0087.jpg
IMG-20200726-WA0086.jpg
IMG-20200726-WA0085.jpg
IMG-20200726-WA0084.jpg
IMG-20200726-WA0083.jpg
 
Asingekuwa ameitumia mzungu ningeongea kitu. Usikute humo ndani imebadilika imekuwa kama nguruwe mana na hiyo mijamaa ni kama nguruwe hata ngozi zao hazitofautiani na nguruwe. Bora angekuwa ameitumia chasaka mkuui ila nguruwe sio kabisa hata harufu yake sio navyojua
 
Mnachonga sana watz muwe waelewa Mimi nauza bei elekezi kutoka kwa mwenye gari mtu ukiwa umeipenda unakata ofa inafikishwa kwa mwenyewe akielewa biashara inafanyika sio mnaongea tu kama matahira, halafu wote mnao comment hapa hakuna mteja hata mmoja, wateja wanaelewa nini cha kufanya lakini wapuuzi kazi kujadili kwenye uzi wa mtu muwe na akili makondoo nyie msiwe kama hamjatairiwa vibuyu nyie mwanaume alotairiwa kiume hawezi kujenge mjadala kwenye kazi ya mtu hizo issue zipo kwa wanawake tuu ndo anaweza toka kwake akashinde saluni kuongea umbea hata asuki wala nywele hajachana lakini yupo saloon. Mnapo jadili bei za magari ya mkononi anagalia na bei ya kuinunua yard ikoje sio kuhorora tu kama inzi wa chooni
 
Mnachonga sana watz muwe waelewa Mimi nauza bei elekezi kutoka kwa mwenye gari mtu ukiwa umeipenda unakata ofa inafikishwa kwa mwenyewe akielewa biashara inafanyika sio mnaongea tu kama matahira, halafu wote mnao comment hapa hakuna mteja hata mmoja, wateja wanaelewa nini cha kufanya lakini wapuuzi kazi kujadili kwenye uzi wa mtu muwe na akili makondoo nyie msiwe kama hamjatairiwa vibuyu nyie mwanaume alotairiwa kiume hawezi kujenge mjadala kwenye kazi ya mtu hizo issue zipo kwa wanawake tuu ndo anaweza toka kwake akashinde saluni kuongea umbea hata asuki wala nywele hajachana lakini yupo saloon. Mnapo jadili bei za magari ya mkononi anagalia na bei ya kuinunua yard ikoje sio kuhorora tu kama inzi wa chooni
Povu lanini ewe kinabo? Hiyo bei labda ukawauzie wasukuma, Brevis utamuuzia nani mjini kwa Mil 9.5 au ndo unajifunza udalali?[emoji2][emoji1][emoji1]
 
Mnachonga sana watz muwe waelewa Mimi nauza bei elekezi kutoka kwa mwenye gari mtu ukiwa umeipenda unakata ofa inafikishwa kwa mwenyewe akielewa biashara inafanyika sio mnaongea tu kama matahira, halafu wote mnao comment hapa hakuna mteja hata mmoja, wateja wanaelewa nini cha kufanya lakini wapuuzi kazi kujadili kwenye uzi wa mtu muwe na akili makondoo nyie msiwe kama hamjatairiwa vibuyu nyie mwanaume alotairiwa kiume hawezi kujenge mjadala kwenye kazi ya mtu hizo issue zipo kwa wanawake tuu ndo anaweza toka kwake akashinde saluni kuongea umbea hata asuki wala nywele hajachana lakini yupo saloon. Mnapo jadili bei za magari ya mkononi anagalia na bei ya kuinunua yard ikoje sio kuhorora tu kama inzi wa chooni
Unazid kuharibu!
 
Mnachonga sana watz muwe waelewa Mimi nauza bei elekezi kutoka kwa mwenye gari mtu ukiwa umeipenda unakata ofa inafikishwa kwa mwenyewe akielewa biashara inafanyika sio mnaongea tu kama matahira, halafu wote mnao comment hapa hakuna mteja hata mmoja, wateja wanaelewa nini cha kufanya lakini wapuuzi kazi kujadili kwenye uzi wa mtu muwe na akili makondoo nyie msiwe kama hamjatairiwa vibuyu nyie mwanaume alotairiwa kiume hawezi kujenge mjadala kwenye kazi ya mtu hizo issue zipo kwa wanawake tuu ndo anaweza toka kwake akashinde saluni kuongea umbea hata asuki wala nywele hajachana lakini yupo saloon. Mnapo jadili bei za magari ya mkononi anagalia na bei ya kuinunua yard ikoje sio kuhorora tu kama inzi wa chooni
Ukweli huwa unauma, huwezi uza brevis mil 9 hata siku moja.
 
Nina Crown Athlet namba DTX naiuza ml.10,imeshushwa na meli bandarini tarehe 3 mwezi huu wa saba,sasa mkuu anauza Brevis 9,500,000!!!!duuuuuh

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom