Tatizo la Brevis ni kutumia 1JZ engine ya kizamani ndo maana mafuta yanaenda kizembe mara mia engine ya 4GR
sasa unataka itumie engine mpya wakati gari ya zamani ..ni Sawa na kusema tatizo la Prado j120 ni kutumia 1kz kwamba bora 1gd ftv na wakati j120 inatengenezwa hiyo 1gd ftv haikuepo..