Hahah nikajua na yenyewe umeiweka kwny category ya baby walker mkuu.Kitu Mjerumani hicho.
Hahah maisha ni haya haya mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahah hutaki tabu mzee baba
Bro, em anza kujenga interest nazo maana naona ni vyuma vizuri pia!Aisee mie kwa VW mweupe sana, hebu mcheki RRONDO
ntazifatilia sasa mkuuBro, em anza kujenga interest nazo maana naona ni vyuma vizuri pia!
Vipi gharama zake za uendeshaji ukilinganisha na Prado, maana nahisi Prado ya cc. 2400 kama ina ka unafuu kidogo kwenye uendeshaji labda na beiLexus ni mahali salama pa kuishi kwa mpenzi wa gari imara.
Prado ni 2700cc,,,Lexus ziko nyingi mkuu mpaka za cc2500...Swala la kuchagua ipi tu itakuvutia.Vipi gharama zake za uendeshaji ukilinganisha na Prado, maana nahisi Prado ya cc. 2400 kama ina ka unafuu kidogo kwenye uendeshaji labda na bei
Prado ni 2700cc,,,Lexus ziko nyingi mkuu mpaka za cc2500...Swala la kuchagua ipi tu itakuvutia.
LS...ES...GS...LX... zote ni trim za Lexus hizo ambapo kubwa kabisa ni ile LX570 na LFA ambayo ni V10
Mkuu nataka nishuke kwenye subaru niingie mazima kwenye tezza,maana subaru ishaanza kwenda alijojo trip shamba trip garage,unanisharije mkuu?,maana kama nashuka chini nisije jikuta kwenye passo bure 😃ntazifatilia sasa mkuu
Sasa 180kph utaifikia lini na tochi hizi nchi nzima?Hivyo unavyoita vyepesi ukifika speed 180km/hr kitapeperushwa kama kapelo inavyopeperushwa toka kichwani. Gari nzito ina maana yake, nayo ni 'STABILITY', hata uwe speed 240km/hr (kama ingekuwepo) mashine inanata na lami kama uko 50km/hr, very steady!
Unamaanisha BMW?Ila mkuu kuna magari ya mgermany yana engine kubwa lakini ulaji wake wa mafuta mdogo compared na magari haya ya brevis kutokana na uhybrid wake
Hivi ni kwanini hakuna Brevis new model?
Hapo ulipima power au top speed?Mkuu sina hicho kitu ila nilikipata mahsli ili niende nacho mkoani.
Ni balaa!
Jamaa hapa wanaihusudu Brevis, lakini hiyo ni no contest mbele ya hii mi V8.
Kwa mchezo tu, mbele yangu niliona Brevis, at 140 ~150km/hr.
Akiona nakuja Brevis akaongeza mwendo hadi 160kmhr.
Nikampa 180km/hr naye akaongeza tukawa sambamba.
Hizo ni spidi kali, lakini mbuga inaruhusu.
Unaona mbelebhadi kilometa mbili, hakuna gari mbele.
Hapo ikabidi nionyeshe heshima ya ya V8.
Acceleration hadi 200~210km/hr ikatosha kumuacha Brevis.
TAHADHARI: huu mchezo ni hatari sana
Ukisha anza tu neno Toyota hapohapo nakushusha thamani yako.Kumbe kumiliki Brevis inabidi ujipange kuanzia spare mpaka Mafuta. Halafu nimeambiwa watu wanaziogopa sana, wanaogopa nini?
View attachment 1154015
Je, kwanini wenye Brevis wanapenda kuwasha fog light-taa za chini kwenye bumper? Mnatuumiza wenye baby walkers in town!
Gari kisahani mwisho 260km/hr lakini sijawahi kufika huko, barabara za kukubali spidi hizo hakuna.Hapo ulipima power au top speed?
Mkuu wewe ndio hujui thamani ya mjapani.Ukisha anza tu neno Toyota hapohapo nakushusha thamani yako.
Naheshimu sana European cars
kwa hiyo DUALIS NA RANGE NI NDUGU??Mkuu wewe ndio hujui thamani ya mjapani.
Nunua Mjapani Toyota V6, V8 au hata Crown, Brevis au Subaru Forester.
Hizo gari zikikuacha barabarani basi uzembe wako.
Nunua European Range Rover au hata Mercedes, ukifanya uzembe inaungua kabisa.
Wiki mbili pale Mikocheni Range
mpya imezimwa moto kwa msaada wa majirani.
Range Rover hapa mjini zinaongoza kuungua, na ukikaa nayo mwaka una bahati.
Dualis Nissan, toleo moja la mjapani nyanya sana.kwa hiyo DUALIS NA RANGE NI NDUGU??