Kitu gani kitanitenganisha nawe, kama ni speed ni 220km/hr turbo, utafia barabaran ukiwa unaitafuta ilipopita viva vwView attachment 952738
Hahaha mzee BMW ana 240 na Aud A4 ana 260 speed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani kitanitenganisha nawe, kama ni speed ni 220km/hr turbo, utafia barabaran ukiwa unaitafuta ilipopita viva vwView attachment 952738
Maana yangu kama zote engine zinalingana zinakula mafta sawa mafano altezza 6 cylinder ya cc 1986 na altezza 4 cylinder ya cc1986 zote zinakula sawa unless kama hiyo 6 cylinder ina cc 2986 au 3000So mkuu tezza ya 6 cylinder aili mafuta sana km ya 4 cylinder?
Ina maana uliona bei chee ukanunua kumbe umenunua jini?Jeep wrangler kipindi flani nililia,bei chee balaa wese.
AUD A4 14-15 milion unaitia mkononi kama used za toyota tu sema kwenye speed ndo safiiiHahaha mzee BMW ana 240 na Aud A4 ana 260 speed
Nimekupata mkuuMaana yangu kama zote engine zinalingana zinakula mafta sawa mafano altezza 6 cylinder ya cc 1986 na altezza 4 cylinder ya cc1986 zote zinakula sawa unless kama hiyo 6 cylinder ina cc 2986 au 3000
Kuna niliiona hii iko sokoni m 19AUD A4 14-15 milion unaitia mkononi kama used za toyota tu sema kwenye speed ndo safiii
Agiza mwenyewe mkuu utapata chini ya bei ila sijajua nyingi zinakuwa zimetembea zaidi ya 150K kmKuna niliiona hii iko sokoni m 19View attachment 952906View attachment 952908
Kwa hiyo hili ni Tecno Phantom[emoji12] [emoji14]
Tatizo sura mbayaKitu gani kitanitenganisha nawe, kama ni speed ni 220km/hr turbo, utafia barabaran ukiwa unaitafuta ilipopita viva vwView attachment 952738
Iyo na voltz ipi inamuonekano mzuri?Tatizo sura mbaya
Utamiliki tu one day cha msingi ni kutokata tamaa.Mkuu King Kong III umetisha,
Natamani Sana siku moja nije nimiliki kitu Cha Audi A6 model za 2012+
Ukiagiza Singapore ni Yaleyale, msijitape mkuu. Gari ya mjerumani original gharama yake si kitoto, Singapore mna store hata baadhi ya product za China ukiagiza zinatokea pale.Taratibu chief sio kila mtu anaagiza Japan aisee watu wanaagiza Singapore na Uk na gar zinafika nazo useme ni production ya Mjapan??
Ahsante mkuuAgiza mwenyewe mkuu utapata chini ya bei ila sijajua nyingi zinakuwa zimetembea zaidi ya 150K km
Sanaaa...kumbe kuna watu wanaiona brevis ni gari kubwa???Brevis bado ni baby walker kubwa.
日本Taratibu chief sio kila mtu anaagiza Japan aisee watu wanaagiza Singapore na Uk na gar zinafika nazo useme ni production ya Mjapan??
Ua engine halafu nenda kaulize bei yakeKuna niliiona hii iko sokoni m 19View attachment 952906View attachment 952908
Mada ni Brevis mkuu, hahah, ninunue Voltz nimerogwa, acha mambo ya ajabuIyo na voltz ipi inamuonekano mzuri?
NI UNATAKA KUNUNUA SIYO KUONGEA POSITIVE HAPA...Kumbe kumiliki brevis inabidi ujipange kuanzia spare mpaka Mafuta,halafu nimeambiwa watu wanaziogopa sana,wanaogopa nini,je kwanini wenye brevis wanapenda kuwasha fog light-taa za chini kwenye bumper,mnatuumiza wenye babe walkers in town
😀😀😀😀Mada ni Brevis mkuu, hahah, ninunue Voltz nimerogwa, acha mambo ya ajabu