Toyota Brevis na heshima zake

Toyota Brevis na heshima zake

Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.

Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Na wenye Carina Ti waseme nini? ha. Gari ni Carina Ti buana
 
Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.

Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Haaahaaaa ..... Uwiiii[emoji23] [emoji23]
 
Yaani bila aibu unakuja kusifia toyota brevis? Uwe serious.unaona ni heshima kuwa na toyota brevis? Sasa na wenye magari nao waje waseme nini? Muwe serious...siyo mkinunua tu gari mnakuja kutupamba humu.na wenye magari wamenyamaza.

Unasifia toyota brevis na wamiliki wa BMW wamo, na wamiliki wa BENZ wamo humu, na wamiliki wa Range, Audi, Bentley, Escarade wamo wamenyamaza.
Ungejaribu Kusoma kwa makini kabla ya kuandika pumba, nimesema Toyota Brevis na sijasema Toyota inashindana na BMW au zote ulizoandika, angalau uneandika BMW X3 ni sawa Toyota Brevis lakini siyo kugeneralize whole brand name kwa one make model, haya angalia hapo ujue brevis iko sambamba na bmw x3 BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300
 
Inanikamua balaa[emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiweka fulltank angalau nakuwa natupia 30 au 40 kwa siku but isipokuwa nakitu inakula mpk 60 ni jini[emoji23][emoji23][emoji23]
Inatumia petrol?
 
wewe..Brevis ni takataka...hamna gari humo. Gari za ukweli zinazoeleweka na kuheshimika ni BENZ, BMW, AUDI nk achana na huo ushuzi. Tatizo kubwa la wabongo hawajui vitu vizuri, wanafuata mkumbo tu. Takataka kama Brevis sijui Noah voxy ulaya haziruhusiwi kabisa na hutaziona barabarani hata kwa dawa
Ahaaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji120]
 
Duh noma sana mkuu hilo wese balaaa, mkuu hizi kodi noma sana maana naona bei ya gari kule bei chee sana kuna mtu aliwahi kuona gari mtandaoni inauzwa $900 kanunua bila kujua mpaka anaitia mkononi itafika kwenye milion 8 huko
Nako huko Japan ukiona gari zuri especially these SUV halafu bei rahisi shtuka!...inakuwa na vitu vingi vibovu, ikitua tu bongo cha kwanza unatua kwenye mziki wa kununua engine or kupiga pasi!...otonetor, bearing, etc
 
495206326ch243315.jpg
BF537346_87e28d.jpg
BMW 325i xDrive vs Toyota Brevis Ai300 Pitia link hiyo uone jinsi Toyota Brevis ilivyo sawa na BMW X3, siyo kusifia tu bila details,
 
Hivyo unavyoita vyepesi ukifika speed 180km/hr kitapeperushwa kama kapelo inavyopeperushwa toka kichwani. Gari nzito ina maana yake, nayo ni 'STABILITY', hata uwe speed 240km/hr (kama ingekuwepo) mashine inanata na lami kama uko 50km/hr, very steady!
Nafikiri hujamuelewa ni uwepesi gani anamaanisha, kuna gari km vx ukikanyaga mafuta unaiskia kabisa ni nyepesi, lkn nyingine ni ndogo kiumbo lakin unaskia kabisa ni nzito,
Mbona gx100 natembelea speed 180 na haipeperushwi?
 
Nafikiri hujamuelewa ni uwepesi gani anamaanisha, kuna gari km vx ukikanyaga mafuta unaiskia kabisa ni nyepesi, lkn nyingine ni ndogo kiumbo lakin unaskia kabisa ni nzito,
Mbona gx100 natembelea speed 180 na haipeperushwi?
Gari ndogo ni nzito sababu ya udogo wa engine, sasa cc: 3000 halafu iwe nzito maana yake ni mbovu na inahitaji service
 
Back
Top Bottom