Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Kwahiyo kaka, asichounda mjerumani unakiri quality si ileile.Hakuna mjerumani anae compromise quality.
BMW anayoendesha Mchina ni sawa na ya South Africa au Brazil.
Huo ujinga anaoujaza Mchina haupo Germany.
Ndiyo hao wanajisifu mjini, kumiliki gari original ya mjerumani si mchezo aiseeUnamaanisha kama simu za iphone na sumsung za kichina na nyinginezo? Hahaaa
Kwahiyo unataka kusema iphone inayotumika china ni tofauti ya US?Ukiagiza Singapore ni Yaleyale, msijitape mkuu. Gari ya mjerumani original gharama yake si kitoto, Singapore mna store hata baadhi ya product za China ukiagiza zinatokea pale.
Brand ni ya mjerumani ila mtengenezaji si yeye, narudia tena gharama ya gari original za kijerumani si mchezo.
Tena sasa hivi kuna Mjerumani anamiliki kampuni ya magari ya kifahari ya Uingereza, jiandaeni kampuni za kijapan zinapewa licence ya kuunda product zao.
Quality na Standards ni moja kwa magari ya kijerumani dunia nzima. Viwanda vya China, SA, Mexico, US, Europe ni kuzalisha karibu na masoko yao na gharama ya wafanyakazi kuwa chini.Kwahiyo kaka, asichounda mjerumani unakiri quality si ileile.
Unajua gari kaka heshma kwakoKununua Brevis ni undezi engine nzito gari nzito mambo yote ni Crown Athlete engine kubwa gari nyepesi
Hawa ni wanyama wakali....huyu wa juu lazma nimnyakue kama....Mungu akizidi kunipa pumzi zake..
Inshallah mkuu mungu akufanyie wepesi umiliki "MNYAMA" huo.Hawa ni wanyama wakali....huyu wa juu lazma nimnyakue kama....Mungu akizidi kunipa pumzi zake..
Shukran mkuu....insha'Allah Mungu atajalia..Inshallah mkuu mungu akufanyie wepesi umiliki "MNYAMA" huo.
Upumbavu mtupu, gari luxurious hivyo unainusisha mafuta kama ugoro maana yake nini? Mwisho pump ziingie uchafu bure, weka mafuta ya 30k fanya yako kwa starehe.., si kunusishana petrol kama teja, tumeelewana mzee.., muwe na adabu suku nyingine.Brevis sio poa, ilichotufanyia kweny harusi ya ndugu yangu dah. Gar ilichukuliwa temeke tukaiwekea mafuta ya bukuten, ikafika tandika kumchukua baba harusi kuelekea safar ya kitunda. Ile tunafika buza ikawekewa mafuta mengne ya bukuten, tukafika kitunda tukaoa then tukageuza, ile bwana na bibi harus wanashuka tu, tunaambiwa haiwezi kutoka mafuta yamekata... Kila mtu anashangaa yameishaje...
Upumbavu mtupu, gari luxurious hivyo unainusisha mafuta kama ugoro maana yake nini? Mwisho pump ziingie uchafu bure, weka mafuta ya 30k fanya yako kwa starehe.., si kunusishana petrol kama teja, tumeelewana mzee.., muwe na adabu suku nyingine.
Mwenye nguvu mpishe mkuu....Samahani, sisi tunaomiliki BMW 5 series, tucomment wapi??
Ni mashine ipi hiyoHivyo unavyoita vyepesi ukifika speed 180km/hr kitapeperushwa kama kapelo inavyopeperushwa toka kichwani. Gari nzito ina maana yake, nayo ni 'STABILITY', hata uwe speed 240km/hr (kama ingekuwepo) mashine inanata na lami kama uko 50km/hr, very steady!
Brevis gari ya kishamba sana,mwendo haina kazi kuunguruma tu na kula wese maneno ni Crown majestaKununua Brevis ni undezi engine nzito gari nzito mambo yote ni Crown Athlete engine kubwa gari nyepesi
Kuna kitu watu hawajakijua gari hizo gari unazozizungumzia ni bei chee kuliko toyotaAcha kujidanganya dogo nilikuwa Toyota na sasa niko BMW tofaut ni kubwa mpk kwa heshima
Siku hizi barabaran kila nayepishana nae lazima ageuke kunichek(especially wa toyota)
Halaf kweli ulaji wa mafuta mnaongelea brevis ya cc 2490 kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achen utan basi
Mkuu si kweli unajua mjerumani Na mercedes Ukiendesha hiyo hutakubali kuendesha hawa wadogo wadogo .Gari nzito means more fuel consumption, boring to drive
Aisee... kweli mpishe tu, maana haina namnaMwenye nguvu mpishe mkuu.... View attachment 953538
Unajua kwanini anaitwa mnyama?Brevis gari ya kishamba sana,mwendo haina kazi kuunguruma tu na kula wese maneno ni Crown majesta
Majesta anakula kiduchu sana kama pasoCrown naye mla mafuta haswa
Naam mkuu Crown Majesta ina 4300 CC ya kuanzia 2009 ni kali sana inaamsha kama Land Cruiser V8 shida gari za Japan wanabania speed ni 180 tuBrevis gari ya kishamba sana,mwendo haina kazi kuunguruma tu na kula wese maneno ni Crown majesta