Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 127
- Thread starter
- #21
Asante sana mkuu kwa infoutofauti upo tukisafari kilometa 1200 tunatofautiana mafuta ya laki moja maintenance yake ni rahisi tatizo ni overall ndio mafundi zinawasumbua mimi nimekaanayo miaka minne bila kusumbua zingatia service tuu rafiki yangu amekaanayo miaka kumi ndio sasa inaanza kuchoka kumbuka engine yake ni kubwa sana bodi ni dogo