Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

mfano nikachukua crown athlete thn nikawa naendesha weekend tu na j3 hadi ijumaa kwenda kazini na kurud mara moja moja na umbali ni km 3 from home to job siwezi kuimudu kwa!?
 
mfano nikachukua crown athlete thn nikawa naendesha weekend tu na j3 hadi ijumaa kwenda kazini na kurud mara moja moja na umbali ni km 3 from home to job siwezi kuimudu kwa!?
mfano nikachukua crown athlete thn nikawa naendesha weekend tu na j3 hadi ijumaa kwenda kazini na kurud mara moja moja na umbali ni km 3 from home to job siwezi kuimudu kwa!?
Kama umbali ni huo na huna mizunguko isio na kichwa wala miguu haikusumbui. Mimi nakaa 15km na ninapoganga njaa so kwenda tu na kurudi nj 30km bado misele mingine ya kazi.
 
97205445-e575-473f-a8a2-bb1fcd1556e9.jpg



Kuna watu wabishi sanaa humu JF!

Siku za nyuma kuna watu walikuwa wanabisha

Crown 4GR haifikishi 14km/L
Mpaka wakadai screenshot waone!

Sasa leo nmeekuja na ushahidi hapa[emoji28]

Achane story za vijiweni

Highway crown unaeza pata zaidi ya hii

Kabla hujabishana hakikisha

Gari yako nzima,maintained well,full serviced utaenjoy

Huwezi pata hii kama gari lako umelenga,warning light zimeipamba dashboard,service gari imekopa km[emoji850]
 
View attachment 2529185


Kuna watu wabishi sanaa humu JF!

Siku za nyuma kuna watu walikuwa wanabisha

Crown 4GR haifikishi 14km/L
Mpaka wakadai screenshot waone!

Sasa leo nmeekuja na ushahidi hapa[emoji28]

Achane story za vijiweni

Highway crown unaeza pata zaidi ya hii

Kabla hujabishana hakikisha

Gari yako nzima,maintained well,full serviced utaenjoy

Huwezi pata hii kama gari lako umelenga,warning light zimeipamba dashboard,service gari imekopa km[emoji850]
Acha maneno mengi. Hio highway labda uendeshe 80-100kph ndio update hio. Na ulichoweka hapo sio average hio ni flactuating inaweza kusoma hata 30kpl.
Natumia hio gari kusafiri mwaka wa tatu hii iko kwenye best condition kabisa. Hapa penyewe Jana ninekuja Moshi nimetembea na ndugu yangu ISO M.CodD
 
Acha maneno mengi. Hio highway labda uendeshe 80-100kph ndio update hio. Na ulichoweka hapo sio average hio ni flactuating inaweza kusoma hata 30kpl.
Natumia hio gari kusafiri mwaka wa tatu hii iko kwenye best condition kabisa. Hapa penyewe Jana ninekuja Moshi nimetembea na ndugu yangu ISO M.CodD
Tumeshahangaika sana kutafuta mileage mwisho wa siku ukikosea ukaovateki lori mbili tu namba inashuka.

Kupigia mahesabu 14kmpl ni uwongo. Utaipata kwa muda mfupi ila sio ya kutegemea
 
Tumeshahangaika sana kutafuta mileage mwisho wa siku ukikosea ukaovateki lori mbili tu namba inashuka.

Kupigia mahesabu 14kmpl ni uwongo. Utaipata kwa muda mfupi ila sio ya kutegemea
Hio alioweka hata akitaka 30kpl namtumia picha. Sio average. Atoke Dar-Moshi au hata Morogoro, asimame abonyeze button hapo itampa average atuwekee.
 
Back
Top Bottom