fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Hii gari ina 3UZ-FE V8 engine
Ina cc4300 [emoji3][emoji3] hapa tu ndo linatisha maana [emoji618] ni balaa
Ina toa power up to 300bhp
Wazee wa mwendo kama holyman,Extrovert,Purezeiss etc hii inawafaa sana mnafuta kisahani
Inatumia petrol [emoji618]
Iko comfortable sana [emoji592]
Gari ya uchumi wa juu hii sie wa uchumi wa kati acha tutumie passo zetu za kuazima[emoji3][emoji3]
Ongezea sifa nyingine za hii gari.
[emoji3591]NB. Picha kwa hisani ya watu wa facebook.
Ina cc4300 [emoji3][emoji3] hapa tu ndo linatisha maana [emoji618] ni balaa
Ina toa power up to 300bhp
Wazee wa mwendo kama holyman,Extrovert,Purezeiss etc hii inawafaa sana mnafuta kisahani
Inatumia petrol [emoji618]
Iko comfortable sana [emoji592]
Gari ya uchumi wa juu hii sie wa uchumi wa kati acha tutumie passo zetu za kuazima[emoji3][emoji3]
Ongezea sifa nyingine za hii gari.
[emoji3591]NB. Picha kwa hisani ya watu wa facebook.