fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
Kakupanga.Hiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka....
haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako
Alafu hata Mimi nilihisi jamaa ananipanga Tu pia yeye ni Dereva Tu na sio mmiliki wa gari.Kakupanga.
Majini yapo hapa mjini na yanaendeshwa na watanzania kama mimi na wewe. Ni wajinga kiasi gani kwenda na kurudi mjini kwa 60k?Alafu hata Mimi nilihisi jamaa ananipanga Tu pia yeye ni Dereva Tu na sio mmiliki wa gari.
Gari hata liwe jini kiasi gani hailewezi kuwaka taa Kwa mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata - Kariakoo
Kakupiga huyo linakula wese sio kwa namna hiyoHiyo ndinga Bana juzi nilipaki karibu yake ikabidi niulize kuhusu fuel consumption Kwa Dereva aliyekuwa anaendesha akaniambia kuwa ameweka mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata Kimanga na alipofika Kariakoo kupaki na taa ilikuwa inawaka....
haya Magari kama unasafiri Safari ndefu sidhani Kama huko njiani kuna Chuma itakatiza mbele yako
Sasa mkuu 30,000 ni Lita 15. Ukitoka Tegeta hadi Kariakoo ni km kama 30! Taa itawaka tu hana maana kuwa mafuta yameisha.Kakupiga huyo linakula wese sio kwa namna hiyo
Walitakiwa walipe walau 280 KPHJamaa wanachokera ni kuweka limit 180kph ambayo ndani ya dakika mbili umemaliza! It's not fair.
Kakupiga huyo linakula wese sio kwa namna hiy
Hata 250kph ingependeza. 180kph hata GRS180 dakika mbili imemaliza then what? BoringWalitakiwa walipe walau 280 KPH
Chuma ya kwenda Mlimani - Kijazi flyover 180KPH imeishaHata 250kph ingependeza. 180kph hata GRS180 dakika mbili imemaliza then what? Boring
Inaisha bila gari kutoka jasho.Chuma ya kwenda Mlimani - Kijazi flyover 180KPH imeisha
Nimecheka sana.. Na kamuokota kweliiiKakupanga.
Upate hapo lenye 3UR ...Hilo namuachia RRONDO ndio kiboko ya vitu kamahivi, ila kusepa linasepa kweli
Kama naenda mwanza.. kwa hayo mahesabu itanitoka shilingi ngapi mkuu ? Najua kuna mwaba mmoja ana range sasa siju nae huwa ananiokota, sijakaa kufatilia.. huwa ananiambia hadi morogoro buwa anafukia kama 300,000 au 250,000.. huwa nasema sawa.. hongera πππSasa mkuu 30,000 ni Lita 15. Ukitoka Tegeta hadi Kariakoo ni km kama 30! Taa itawaka tu hana maana kuwa mafuta yameisha.
Kiberiti changu cha cc2000 taa inawaka mafuta yakibaki ya km50.
Ikikosea njia na ikatoka kule juu kwa kijazi, itapaa hadi kimara baruti πππππππChuma ya kwenda Mlimani - Kijazi flyover 180KPH imeisha