Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kuna sehemu nilisoma Majesta zipo zenye 3UR ukiachana na hizi zenye 3UZ .. umeishwahi kutananazo zote kati ya hizo ?Crown Majesta hamna Hybrid hata moja.
Engine kuwa VVTi siyo ndo haitalamba mafuta.
Shughuli iko palepale.
Pale mkeka umetulia mzee no tuta.. pia kuna nyakati panakuwa free kabisa.. kutoke tiver side hadi mlimani city.. kwanini usiki washe.. pale pale. Pia kuna siku nimekiwasha na Golf GTI .. nilimchapa mchap mchap nilivyoshusha goti hadi ilivyo enda gota 180.. tulikutana kwenye parking ya m.cityNashindwa kuelewa kwann madereva wengi sikuhizi wanatest speed Magari Yao Kwenye hii flyover ya kijazi?
Nahisi hili ndiyo eneo pekee Kwa barabara zetu za DAR ambalo unaweza kupata speed 140 Kwa gari ambalo linachanganya fasta
Kuna mida unakuta na green, kama umechanga karata zako vizuri πππ.. na wakati mwingine kama hakuna gari unapita tuuPale si hamnaga taa kwa kipande chote toka taa za TCRA pale
Mara nyingi mi nanyooshaga goti tuKuna mida unakuta na green, kama umechanga karata zako vizuri πππ.. na wakati mwingine kama hakuna gari unapita tuu
Executive sedans kama hii Crown tank capacity yake ni lita 60 hadi lita 75. Kwa hiyo 30000/= ni zaidi kidogo ya lita 10 ambayo ni almost reserve. Kama wakati ameweka wese Tabata taa ilishawaka, basi siyo ajabu kuwa ikawaka by the time yuko Kariakoo.Alafu hata Mimi nilihisi jamaa ananipanga Tu pia yeye ni Dereva Tu na sio mmiliki wa gari.
Gari hata liwe jini kiasi gani hailewezi kuwaka taa Kwa mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata - Kariakoo
Huenda tulishawahi kufukazana au kupisha kidogo hapo.. mie karibia kila siku nikiwa dar. Ndio raha yangu hiyo yaniMara nyingi mi nanyooshaga goti tu
Ni VVt-i lakiniHii gari ina 3UZ-FE V8 engine
Ina cc4300 [emoji3][emoji3] hapa tu ndo linatisha maana [emoji618] ni balaa
Ina toa power up to 300bhp
Wazee wa mwendo kama holyman,Extrovert,Purezeiss etc hii inawafaa sana mnafuta kisahani
Inatumia petrol [emoji618]
Iko comfortable sana [emoji592]
Gari ya uchumi wa juu hii sie wa uchumi wa kati acha tutumie passo zetu za kuazima[emoji3][emoji3]
Ongezea sifa nyingine za hii gari.
[emoji3591]NB. Picha kwa hisani ya watu wa facebook.
View attachment 1740597
VVt-i lakini wanasema inalamba kama kawa kama dawa..Ni VVt-i lakini
Huenda labda maana mie huwa naflash tuHuenda tulishawahi kufukazana au kupisha kidoho hapo.. mie karibia kila siku nikiwa dar. Ndio raha yangu hiyo yani
VVT-i inaflex na throttle pressure tu, ukiwa na mguu mwepesi aikupigi sana ila ukiwa mkandamizaji inakukandamija mwana waneNi VVt-i lakini
Huwa naingia m.city kama nipo kwenye mashindano hasa nikiwa natoka pale kivulini brake sizije fail maana mmhπππ.. hata pale kwenye enrty kama wamenikalili ikiwa hata mchana nanyooka tu nachukua ka card ndaniHuenda labda maana mie huwa naflash tu
Kweli kabisaJamaa wanachokera ni kuweka limit 180kph ambayo ndani ya dakika mbili umemaliza! It's not fair.
Atleast hata 240 au 250 ingefaaWalitakiwa walipe walau 280 KPH
Huwe na majesta, mguu uwe mwepesi ili iweje mkuu ππ.. labda kama upo posta.. ila upo kwenye njia imenyooka lazima mguu uende down.. umekuja juu kuna nyange nyange au maloliVVT-i inaflex na throttle pressure tu, ukiwa na mguu mwepesi aikupigi sana ila ukiwa mkandamizaji inakukandamija mwana wane
[emoji848][emoji848]Hiyo gari nimeshaitumia Kama Wiki hivi nilifanya Safari ndefu,inatumia umeme zaidi hivyo ulaji wake ni sawa na gari za CC 2400-2500
Dude linakubali lami hatariHuwe na majesta, mguu uwe mwepesi ili iweje mkuu ππ.. labda kama upo posta.. ila upo kwenye njia imenyooka lazima mguu uende down.. umekuja juu kuna nyange nyange au maloli
3UR ni moto zaidi ya hiyo 3UZUpate hapo lenye 3UR ...
Labda 1UR ndo ipo kwenye majestaUpate hapo lenye 3UR ...
[emoji23][emoji23] unaambiwa vvti huwa haili kabisa halafu ukinunua ndo utajua utamu wakeUtasikia inanusa tu,kisa kaona hiko kinembo cha vvti,gusa unate
Hili ningekuwa nalo.. kila mwezi nakuwa na tour moja ya hatari yaani.. na pisi yangu pembenii... sehemu ya kituo kikuu ni pale migombani ππππDude linakubali lami hatari