Yani nimpe demu hilo jiniMuachie naby atembelee.. πππ
Hakuna watu wenye matumizi mabaya ya mafuta kama wanawake.. unaweza weka full tanj, jioni yanarudi nusu kikombe πππ
Kakupanga vibaya sana boya huyo izo ni lita 16 kwa iyo ela labda lina engine ya trekta........Alafu hata Mimi nilihisi jamaa ananipanga Tu pia yeye ni Dereva Tu na sio mmiliki wa gari.
Gari hata liwe jini kiasi gani hailewezi kuwaka taa Kwa mafuta ya tsh 30000 kutoka Tabata - Kariakoo
In horsepower ngapi?
Una 300 hp ila top speed 180kph.Aisee! Shida ni moja, limit 180kph.
[emoji23][emoji23][emoji23]utakufa bwege weweJamaa wanachokera ni kuweka limit 180kph ambayo ndani ya dakika mbili umemaliza! It's not fair.
Kuna manzi, nilikuwa naweka wese full atlete, inarudi haina mafutaz roho inauma kinomaaa yani.. nikavumilia wee.. nikashindwa ππππ.. ni mwendo wa wese la 20, buku 10 au 15 tu.. ili akili ikae sawaaaaYani nimpe demu hilo jini
Hio full tank anaenda wapi na wapi mpaka ayamalize kwa siku!Kuna manzi, nilikuwa naweka wese full atlete, inarudi haina mafutaz roho inauma kinomaaa yani.. nikavumilia wee.. nikashindwa ππππ.. ni mwendo wa wese la 20, buku 10 au 15 tu.. ili akili ikae sawaaaa
4.6l inakupa 381 hp.
Gari ya turbo sizependi hata bure ukinipata nitauza au nahonga4.6l inakupa 381 hp.
Ndo maana napenda gari zenye turbo.
2.0l inaweza kupa 380 - 400 hp. Saving fuel consumption, plus top speed ya zaidi ya 240kph.
Full burudani.
Wale watu sijui wakoje, asee nahisi kuzulula tu na hivi anaona kiwese kipo full.. basi anakuwa kama karambwa na mbwaa anapuyanga tu πππ...Hio full tank anaenda wapi na wapi mpaka ayamalize kwa siku!
tu gari hiko ni kipaji cha pekeeWale watu sijui wakoje, asee nahisi kuzulula tu na hivi anaona kiwese kipo full.. basi anakuwa kama karambwa na mbwaa anapuyanga tu πππ...
Unaondoa speed limiter tu unaipeleka pale Gear tech perfomanceAisee! Shida ni moja, limit 180kph.
Bora umnunuelia ka vitz kake.. ila ukimpa hizi kubwa utakasirika tu. Au kama hayo makubwa anunue kwa hela yakeKumpa demu
tu gari hiko ni kipaji cha pekee
Akiendesha gari yangu basi jua nipo kushoto, wanawake ni wazembe sana barabaraniBora umnunuelia ka vitz kake.. ila ukimpa hizi kubwa utakasirika tu. Au kama hayo makubwa anunue kwa hela yake
Bei?Unaondoa speed limiter tu unaipeleka pale Gear tech perfomance
πππ Usiendeshwe na mtu usie muamini, maana anaweza kulibamiza makuamia. Mtu ukiwa humuamini hata siku moja usimuachie chombo.. bora aendeshe yeye na marafiki zake kama kufa wafe wao mie hapo sipo zanguAkiendesha gari yangu basi jua nipo kushoto, wanawake ni wazembe sana barabarani
Binafsi naona ni matumizi mabaya ya rasilimali kuwa na gari linalotumia 15l/100km (petrol) wakati naweza tumia gari linalonipa 8l/100km.Gari ya turbo sizependi hata bure ukinipata nitauza au nahonga
Why?Gari ya turbo sizependi hata bure ukinipata nitauza au nahonga
Kwa factor ya uchumi upo sawa sanaBinafsi naona ni matumizi mabaya ya rasilimali kuwa na gari linalotumia 15l/100km (petrol) wakati naweza tumia gari linalonipa 8l/100km.
Duh umenitukana ila nimecheka sana...πππ[emoji23][emoji23][emoji23]utakufa bwege wewe