Hata Mimi naona ni matumizi mabaya ya rasilimali kutumia VXR ya 300m wakati kuna Vitz ya 6.5mBinafsi naona ni matumizi mabaya ya rasilimali kuwa na gari linalotumia 15l/100km (petrol) wakati naweza tumia gari linalonipa 8l/100km.
Matengenezo, hata engine kuchoka mapema.. kana ichoche engine sana,Why?
Hahahah uzuri hawezi kufika speed 80 maana muoga sana😀😀😀 Usiendeshwe na mtu usie muamini, maana anaweza kulibamiza makuamia. Mtu ukiwa humuamini hata siku moja usimuachie chombo.. bora aendeshe yeye na marafiki zake kama kufa wafe wao mie hapo sipo zangu
Mie yule wangu kichaaa.. anagusaga hadi 140.. huwa namtazamaaa.. nakaa kimya maana unaweza mto kwenye utulivu ndio mkauana wote 😀😀😀Hahahah uzuri hawezi kufika speed 80 maana muoga sana
Huyo denjaraz kwa kweli, bora umuache akauane na rafikizake tuMie yule wangu kichaaa.. anagusaga hadi 140.. huwa namtazamaaa.. nakaa kimya maana unaweza mto kwenye utulivu ndio mkauana wote 😀😀😀
Vitz is too much.Hata Mimi naona ni matumizi mabaya ya rasilimali kutumia VXR ya 300m wakati kuna Vitz ya 6.5m
Hahaaaa,balaa sana,mafundi wa humu ni wa kuwaangalia tu mkuu[emoji23][emoji23] unaambiwa vvti huwa haili kabisa halafu ukinunua ndo utajua utamu wake
Kawaida gari nyingi kuanzia taa kuwaka mpaka gari kuzima kwa kuisha mafuta ni km 100, wastani wa lita 10 hivi. Na by default wanatengeneza mfumo ambao hautanyonya mafuta hadi chini kabisa ya tanki kwa sababu ndipo kwa sababu zozote uchafu wote utakaa huko.Labda wanafikiri taa ikiwaka maanake mafuta yameisha.
Kabisa mkuu mjapani hatendei hizi mashine hakiJamaa wanachokera ni kuweka limit 180kph ambayo ndani ya dakika mbili umemaliza! It's not fair.
Uzuri ukiwa unakimbiza gari wazo la kufa huwaga halipo kabisa 😀😀😀😀😀😀.. wala hofuUtakufa bwege wewe...kwa sauti ya ze-dudu
[emoji23]tatizo nalo mkuu mfumo ndio umetufanya tuishi kwa vitu used used wachache sana wanaaford 0 milleageIla situnanunua used za japan ndio maana.. maana japana wao 180 fresh tu..
haliwezi kuwepo mkuu, labda urushe macho kwenye speedometer ndio utashtuka kidogo otherwise ni mwendo wa supersonic[emoji23]Uzuri ukiwa unakimbiza gari wazo la kufa huwaga halipo kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. wala hofu
Ni sawa na nchi kama Uswiss imiliki makombora ya masafa marefu.Ngoma kama hii unaanzia zero mille.. unajisikiaje yani [emoji3][emoji3][emoji3] kitu 600HP
View attachment 1741348
Hii kuifikisha to the maximum muhimu, ila jua njia nzima utakuwa ni peke yako hakuna ushindani wowote utapataNi sawa na nchi kama Uswiss imiliki makombora ya masafa marefu.
Ukiwa na hii gari na huifikishi to the maximum ni matumizi mabaya ya rasilimali.
[emoji23][emoji109][emoji109]daaah maisha haya tupambane tusichoke kuisaka pesa mkuu though nimecheka sana huko nyuma kipindi cha ujana nilivuta alteza 3S-GE nikawa nalala humo humo ndani ule mzuka achana nao kabisa na haikumaliza mwaka nikaipiga bei nikaongeza mshiko nikarukia 3series 320i sasaiv tumekuwa watu wazima mzuka tunapunguza kidogo but magari hasa european cars ni matamu sanaNgoma kama hii unaanzia zero mille.. unajisikiaje yani [emoji3][emoji3][emoji3] kitu 600HP
View attachment 1741348
Cc 4300 si bora ninunue v8 tu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa ma cc hayo alafu gari yenyewe iko chini namna hiyo!V8? Ulimaanisha Landcruiser V8?...mkuu Landcruiser V8 uwe na 300M+ ba hiyo Majesta used sidhani kama inafika 50M