Toyota hizi...!

Je speed kubwa na kuto kuwa makini barabarani kwa gari ya mjerumani huwezi kupata ajari??

Funguka zaidi tuweze kujifunza kuhusu hizi gari za mjerumani cc: Mshana Jr
Ukiingia uvunguni hata ukiwa unaendesha volvo lazma ufe tu japo kwa usalama hakuna gari inaikuta volvo kwa rating.
 
Huku mjini anaovateki bila kuangalia anakuwashia taa unampisha,tabia hujenga mazoea wakienda highway malori yanawanyoosha
Tabu iko pale pale, nina shemeji yangu anachezaga rally, yeye ni msoma ramani ila fujo za gari zinaishiaga mjini tu. Akiwa safari unaweza sema mlemavu 😂😂😂 hasa akiwa kabeba watoto. Speed haivuki themanini.

Siku nasafiri nae tulianza safari saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku hio ni Moshi-Dar na hapo tumekula boda ya Msata Bagamoyo.
 
toyota sauzi zipo kibao acha kupotosha..sema zilizopo zinautofauti kidogo na za huku..zina speed 220 na kuendelea.
 
Utafikiri katumwa[emoji24][emoji24][emoji24]
Hawa madogo wanakimbiza haya magari mpk unashangaa.... Siku nakatiza zangu na speed yangu ya kizee... nikashangaa kaPasso kananipita kama nimesimama. Nikashangaa na kujiuliza hawa madogo huwa wanawaza nini na haya mambio???
 
Hii sehemu kama naifahamu ina barabara moja nzuri sana inavutia kukanyaga wese...
 
Safiri usiku angalau upunguze kutoa hela ya mboga...

Maana kwa huo muda unataka kutumia speed 150kph inakuhusu...
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
 
Royal saloon tena bado mbichi kabisaaa ila ndio ishakula kichwa tena
 
toyota sauzi zipo kibao acha kupotosha..sema zilizopo zinautofauti kidogo na za huku..zina speed 220 na kuendelea.

toyota ya mjapani na toyota ya hapo ni tofauti ndugu.kama umenunua ya japani hapa wanakubebea mpaka mpakani na kukukabizi
 
Huyo wa gari kuwaka moto imekuaje ina maana milango ilijilock au
 
toyota ya mjapani na toyota ya hapo ni tofauti ndugu.kama umenunua ya japani hapa wanakubebea mpaka mpakani na kukukabizi
nachofaham toyota ni brand ya Japan.labda kama unamaana ingine
 
Toyota za Kimarekani mwisho wa kazi speed 220 na hata ugonge jiwe itachubuka tu na kimkunjo kidogo..... hizi gari za mchina inagonga boda Boda inakanika vipande viwiliView attachment 1106081
Tatizo sio No ya SpeedMeter ! Hekima nBusara za Huyo anae kiendesha chombo. Kama were no dereva kuna wakati unakanyaga mafuta unasikia moyo wako unakuambia hapa Mmmhhhhh...... ! Pia gari lenyewe kama were ni msikivu mzuri,gari lina kwambia kabisa hapa too much ! Unatoa mguu kwenye mafuta.... Barabara zetu hizi pia nyembamba, kwa wale tunao endesha magari usiku nafikiri hili watakuwa wanaliona ! Tuwe makini Barabarani, HEKIMA NA BUSARA ITUMIKE ZAIDI
 
Ilichomfanya hawezi kusahau? [emoji849]

Alipona kwani mkuu?
 
Kwakweli hiyo michezo ya kumaliza visahani Mungu anikumbushe nisije jisahau.
R I P!
 
Huyo wa gari kuwaka moto imekuaje ina maana milango ilijilock au
Hapo possibility ni mashine ilipiga mzinga ikiwa kwenye mwendo kasi na immediately ikadaka moto...ukiicheki imepinduka upside down kwa hiyo inaonekana kama walikuwa wamejeruhika ilikuwa vigumu kujitetea...ukiendesha mkoani ukaona vijana wa private wanavyoamka na magari utadhani vichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…