Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,418
Ipsum ukifika hiyo speed unasikia kwa nyuma Gari kama inapeperushwa na unapoteza umakin na unaweza sababisha ajali ya kupoteza direction au kuingia porin kabisaAiseee nimekoma kuna siku niko na ipsum yangu natokea mtwara nipo 145+ speed kwa kweli nimejifunza sahv max speed ni 100