Toyota hizi...!

Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]tunakuombea ufike salama
 
UTOTO RAHA SANA .NGOJA UKUE UJE UPATE GARI NA AKILI HUWEZI BURUDISHA NAFSI YAKO HIVI.

Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
 
Huyu kafatwa site take! Kuangusha au kuserereka hii gari ni ngumu kdg ina control kubwa sana hii gari! Data RIP dogo hujala maisha kbs!
 
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Mwenyewe unaona Sifaaa...kumbe ushamba wa Gari unakusumbua.
 
Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Kiburi si maungwana....fata sheria za barabarani....kuwa reasonable...najua sote tutakufa but angalia.....tutakunywa zako beer...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…