Toyota hizi...!

Toyota hizi...!

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]tunakuombea ufike salama
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
 
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
 
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
 
We unaeenda Mbeya mwenzio na harrier yake kaishia hapo Mahenge karibia na Kitonga nenda taratibu ona hapo kitu kinawaka moto
Screenshot_20190523-225053_Instagram.jpeg
Screenshot_20190523-225056_Instagram.jpeg
 
Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Kabisa na ndio hawa humu town wanasumbua sana hata kwenye foleni humu...kutokea huku Bunju kuna jamaa ana kisuzuki Jimny kina namba za DFP huwa anapendelea kupita njia ya ununio ninakutana nae mara nyingi huwa anakipuliza kigari kaa mwehu na kuovateki hovyo...
 
Back
Top Bottom