Toyota hizi...!

[emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]tunakuombea ufike salama
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
 
 
Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
 
Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Kabisa na ndio hawa humu town wanasumbua sana hata kwenye foleni humu...kutokea huku Bunju kuna jamaa ana kisuzuki Jimny kina namba za DFP huwa anapendelea kupita njia ya ununio ninakutana nae mara nyingi huwa anakipuliza kigari kaa mwehu na kuovateki hovyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…