Lakini ni body mbili tofauti kabisa... Gari za ulaya usalama umezingatiwa mno hasa kwenye bodyUendeshaji mbovu.
Hata ingekuwa benzi ingekula mzinga.
Kwasababu wao hawana visahani, wana masinia kabisa, unaweza ukajikuta unataka kumaliza na huwezi.
Upige kabisa picha mbele ya ndinga ukifika mlandizi.Ajali ya mtu mwingine haiwezi kunifanya niongope kukanyaga mafuta..... Kesho asubuhi na safari ya Mbeya+Tunduma nikitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi nataka saa kumi niwe Tunduma.... Nimesha andaa na hela ya faini kabisa ya matrafiki
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu[emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]tunakuombea ufike salama
Walikuwa wakiita GX miakuliko gx100?
Speedkuna ka neno kanatumika ''kasahani'' sijui kanamaanisha nini?
Kuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
Hatupendi kupoteza kijana mdogo...afate utaratibu....awe reasonable..... muhimu amuombe Jalali.....atafika salama...ila akiweka kibri itakuwa ni betting...Umemlaani [emoji87][emoji87][emoji87]
Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tuKuna mwenzake amekufa baada ya Harrier kuacha njia akiwa kibati na wenzake wawili wamefia eneo linaitwa Mahenge akielekea Mbeya...gari imewaka moto hapohapo ni jirani na Ruaha Mbuyuni...huyo jamaa ni lawyer Mbeya town anaitwa Mwesigwa wametangaza ITV tena lead story leo...hawa vijana huwa hawaelewi la kengele wala mwadhini kwa hiyo ni better kuwatangulizia R.I.P tu.....polisi wanasema ajali imetokea muda si mrefu baada ya jamaa kuandikiwa notification...gari sio bagadu
Kabisa na ndio hawa humu town wanasumbua sana hata kwenye foleni humu...kutokea huku Bunju kuna jamaa ana kisuzuki Jimny kina namba za DFP huwa anapendelea kupita njia ya ununio ninakutana nae mara nyingi huwa anakipuliza kigari kaa mwehu na kuovateki hovyo...Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Hahahah, ila wewe uzee unakusumbua.., hahah, tuishe halafu iweje?Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Huwa nawaambia tabia zenu za kishenzi barabarani ndio maana malori yanawamaliza highwayKabisa na ndio hawa humu town wanasumbua sana hata kwenye foleni humu
Bado wewe na Brevis yako. Unaona Brevis stable kuliko Crown! Ngedere na tumbili dugu moja.Hahahah, ila wewe uzee unakusumbua.., hahah, tuishe halafu iweje?
Hahah, hizi zinasumaku kwenye tyres..Bado wewe na Brevis yako. Unaona Brevis stable kuliko Crown! Ngedere na tumbili dugu moja.
Kuna uzi ulikuwa unawahamasisha wajaribu kumaliza sahani mjini mida ya usiku.Vijana wabishi na ujuaji mwingi. Wakiwa kwenye hayo mabati wanajiona wamemaliza. Acha waishe tu
Kila mtu anaamini mkewe ndio mzuriHahah, hizi zinasumaku kwenye tyres..