Maswali fikirishi... Japo picha za ajali yeyote anaweza kupiga... Hiyo kabla ya ajali pengine ni ya nyuma ama ya kupiga kabla ya ajaliPicha inamuonyesha marehemu kabla ya ajali,na baada ya ajali...swali MPIGA picha kabla ya ajali nani? maana hii picha inaonyesha imepigiwa kati kati ya safari na marehemu hakuwa peke ake kuna mtu alikua nae na ndie alie mpiga picha,swali ni picha nani kazipiga Hasa hyo ya kwanza marehemu akiwa hai.
tuvae ganboots sio?Mwana apumzike kwa amani. Tusiendeshe magari na flip flops View attachment 1106284
tuvae ganboots sio?
“Ganboots” ni kitu gani?
Gumboots...!!!
German cars are usually more expensive and tend to be luxury or performance oriented (BMW, Mercedes, Audi, Porsche, etc.), while Japanese cars tend to be more budget friendly (Honda, Toyota, Mazda, Subaru, etc.) German cars are considerably more expensive than their Japanese counterparts. ... It all depends on your budget.Ajali ni ajali tuu, huwez kuitegemea siku flani, msingi ni kuwa makini tu uwapo barabarani ila ajali ikitokea ndo ishafika siku yako, ila gari zmetengenezwa kwa kufuata cheap labor costs ili iuzwe kwa cheap prices ukitaka gari ngumu zaidi unaitune inakuwa km zile za mashindano unawekea vyuma vigumu hata ikipata ajali unatoka na majeraha kidogo but ajali ni ajali tu na gari hazijatengenezwa kumkinga mtu na ajali kubwa
Gari yoyote 180kph ni dangerous speed labda uwe kwenye straight road,Hii inanikumbusha jamaa yangu mmoja aliniambia hii gari iko stable sana ikishapita speed 120 inakamata chini/inatitia,kuna siku alikuwa yuko kwenye 180 kph kufika kwenye kona hakupunguza,ilichomfanya hatakaa asahau,ile gari iliruka nzima nzima ikazunguka juu mara 3 kuja kutua miguu juu kichwa chini,guess what,Toyota Carina wakati huo ndio zilikuwa zinasumbua...
Kwanini?Mwana apumzike kwa amani. Tusiendeshe magari na flip flops View attachment 1106284
Nowadays gari zinatengenezwa kwa fiber glass, carbon chassis, lightweight body, vyote hivi haviwez kukukinga na impact,German cars are usually more expensive and tend to be luxury or performance oriented (BMW, Mercedes, Audi, Porsche, etc.), while Japanese cars tend to be more budget friendly (Honda, Toyota, Mazda, Subaru, etc.) German cars are considerably more expensive than their Japanese counterparts. ... It all depends on your budget.
kama kweli unakua mwalimu si wanafunzi tutafeli sana? unapomuelewesha mtu au mkataza mtu kitu mwambie na sababu za kumwambia vile sio tu ACHA/USIFANYE/SIO VIZURI/HAISHAURIWI,NK tueleze WHYSina uhakika na hizo gumboots ila unashauriwa kuvaa viatu vinavyokufit vizuri unapoendesha gari.
Hao ni wajep... Wazungu bado usalama wanaupa kipaumbele hasa kile kipande wanachokaa watu... Angalia picha za body frame nilizoweka... Angalia na ya Volvo aliyoweka RRONDO kamwe huwezi kufananisha na hii chassis body ya MjepNowadays gari zinatengenezwa kwa fiber glass, carbon chassis, lightweight body, vyote hivi haviwez kukukinga na impact,
Kwanini?
Mi navaaga sendoz tu
Huwezi feli [emoji1427][emoji1427]kama kweli unakua mwalimu si wanafunzi tutafeli sana? unapomuelewesha mtu au mkataza mtu kitu mwambie na sababu za kumwambia vile sio tu ACHA/USIFANYE/SIO VIZURI/HAISHAURIWI,NK tueleze WHY
Wazoefu wanasema zina effect kadhaa
1. Pedals zinaweza kunasa katikati ya mguu na sandal yako inakuchanganya uka loose control
2. Imethibitishwa kwamba force unayoapply kwenye brake ukiwa na sandal ni ndogo kwahyo gari linaweza kuchelewa kupunguza mwendo
3. Maneuvering ya miguu yako between pedals inakuwa slower ukiwa na sandals