Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa

Kwenye hili hatuna pa kuficha uso mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na hapo bado mjapani mmoja kutoka huko fukushima hajafika wa kupuliza

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bado wapo kama wawili sijawaona humu, [emoji23] unaweza kuta wametupia macho wakaona hawaenei[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shubaamiti kabisa
 
Mtoa uzi yuko sahihi kabisa, nilivyoenda Marekani 2020, nilikutana na toyota nyingi ikiwemo RAV 4, ila nilichogundua ni kuwa yanamuundo tofauti na mzuri zaidi kuliko haya yanayosambazwa Nchi kwetu.

Nilikutana na RAV4, yaani interior design yake tu ni hatari, ni tofauti kabisa na za TZ ( low prices).



 
Toyota zinaaminika zaidi sababu wanunuzi wengi siku hizi ni kwa njia ya mkopo.. Kulipa deni la mkopo na kutunza gari at the same time hawawezi.. Lazima atafute gari ambayo ni matunzo less.. Toyota..!
Wamerekani wa siku hizi nao ni choka mbaya..!

Ukianza kununua gari bila mkopo sio rahisi kuwaza Toyota..!
 
Sidhani kama hii taarifa niya kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…