JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Mkuu, kubadilisha engine?!!!!
Gari ishatembea 125,000 KM.
engine oil
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kubadilisha engine?!!!!
Gari ishatembea 125,000 KM.
engine oil
Okay. Engine oil nimetembelea 6,035 KM. Of course muda wa service ushafika.
Natumia oil ya TOTAL 5W30 (quartz 9000) full synthetic.
Ishajichokea hiyo.
Sawa mkuu. Kesho nafanya service.
Pia naomba kufahamu, engine oil nibadilishe kwa kilomita ngapi? Na ATF nibadili kwa kilomita ngapi?
View attachment 1850858
Mkuu concious mind , ulifanikiwa kutibu hilo tatizo la mlio wa kugonga hodi kwenye
Hapana niliuza kabla hata ya kujua shida ni ipiView attachment 1850858
Mkuu concious mind , ulifanikiwa kutibu hilo tatizo la mlio wa kugonga hodi kwenye engine?
Tatizo kwangu ni gari yangu aisee inakimbia sana! Yaani kutoka Mwanza to Dar to Mbeya ime'overtake' tu lakini haijapitwa au kuwa 'overtaken' na gari yoyote...😡! Hivi inatatizo gani wadau maana inafikia inasoma speed 203 lakini utafikiri upo 120 ya IST! Wadau nisaidieni kujua tatizo isee🙏!Wataalaamu wa magari,
Sikiliza audio ya silencer kama nilivyoirekodi kwenye engine ya Toyota IST. Kuna mlio wa 'kugonga' hivi kwenye engine.
Asubuhi napowasha gari hamna shida, silencer inakuwa normal and smooth. Lakini jioni au usiku naposimama na kuweka 'P', silencer inakuwa inasikika hivyo.
Ni tatizo gani hilo?