Toyota kawajibu akina Ferrari na Lamborghini yani ni hatari

Toyota kawajibu akina Ferrari na Lamborghini yani ni hatari

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi!

Toyota ni nouma yani sheeda hatari Aisee. Watu wanaidharau sana Toyota. Mjapan akaamua kuwanyamazisha watu. Katoa kitu kikali sana ambacho Kilianza kutumika July 2020 ni Lexus Lc 500 convirtable 'sexy car' yani ukiimiliki hii demu yeyote hachomoki.

Kina Ferrari, Porsche, Lamborghini yamebaki yakishangaa. Sipendi sports car Ila hii ya Aisee.

Screenshot_20200806_211513_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20200806_211506_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20200813_004819_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20200821_232144_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20200821_232139_com.android.chrome.jpg
 
pesa ndio hizo hawa wajinga wa mitano tena wamezishikilia
 
Inakuwaje wanajamvi!

Toyota ni nouma yani sheeda hatari Aisee. Watu wanaidharau sana Toyota. Mjapan akaamua kuwanyamazisha watu. Katoa kitu kikali sana ambacho Kilianza kutumika July 2020 ni Lexus Lc 500 convirtable 'sexy car' yani ukiimiliki hii demu yeyote hachomoki.

Kina Ferrari, Porsche, Lamborghini yamebaki yakishangaa. Sipendi sports car Ila hii ya Aisee.

View attachment 1544336View attachment 1544337View attachment 1544338View attachment 1544347View attachment 1544348
Jina FERRARI linatisha, huwezi linganisha TECNO na IPHONE.

Tecno hata akitoa aina gani ya simu haiwezi kuikuta iphone 4
 
No matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!!
Toyota ni kampuni kubwa duniani kuanzia ulaya, America na Asia huko kote Toyota anauza Magari yake...
 
Back
Top Bottom