Toyota kawajibu akina Ferrari na Lamborghini yani ni hatari

Toyota kawajibu akina Ferrari na Lamborghini yani ni hatari

Waswahili tutaishia kuzitamani kwenye picha, hatuna barabara kwa ajili ya gari hizo. Halafu sijui ni unyakyusa/usukuma (ushamba) umenitawala! Napenda sana gari za juu
Uko kama watoto wachanga. Walio wengi, watoto hawa huwa hawapendi kubebwa na mtoto mdogo (mfupi) aliyefikia rika la kubeba watoto, wakati kuna mtu mzima (mrefu kuliko watoto). Akibebwa na mtoto mwenzake analia, halafu mkubwa akimbeba ananyamaza. Issue hapa ni kwamba hapendi kubebwa halafu akawa anajiona yuko chini, anataka abebwe na mkubwa ili awe juu
 
No matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!
Ume krem vibaya sana .. Kwan huawei origin ake kuwa china kuna tatizo gani
 
No matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!!
Hio ni Lexus wewe kifua V8 sprints 0-60 under 5 seconds
 
Hongera sana kwa Rais wetu Joseph John Pombe Magufuli kwa juhudi zako.
Mnachafua, mnakera, mnaboa nyie mazombie, wewe umeshindwa kwenda kufungua mada yako kule ya kusifu ili mtu unajua kabisa nimefungua mada ya corrido za lumumba elfu7 ??!!, mwenzako amefungua mada yake nasi tunafuatilia kwa kuangalia heading wewe unachomeka uharo hapa, !! hivi akili zenu huwa zinakalia wapi ??
 
Mnachafua, mnakera, mnaboa nyie mazombie, wewe umeshindwa kwenda kufungua mada yako kule ya kusifu ili mtu unajua kabisa nimefungua mada ya corrido za lumumba elfu7 ??!!, mwenzako amefungua mada yake nasi tunafuatilia kwa kuangalia heading wewe unachomeka uharo hapa, !! hivi akili zenu huwa zinakalia wapi ??
Zinakalia kwny maziwa ya shangazi zako kunguni wewe
 
Mbona haujatoa ufafanuzi wa kilomita ngapi kwa lita ngapi!!!!!
Siku nikimiliki hii chuma ndani ni Singeli tu, #Chura super star
Daah bora usifanikiwe kumiliki hicho chuma tu kama unaenda kusikiliza singeli humo ndani.
 
Back
Top Bottom