nunua baiskeli....Waswahili tutaishia kuzitamani kwenye picha, hatuna barabara kwa ajili ya gari hizo. Halafu sijui ni unyakyusa/usukuma (ushamba) umenitawala! Napenda sana gari za juu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nunua baiskeli....
mjukuu wako wa kulazimisha anakusalimia
Wasukuma hata iwe ni bmw/mercedes saloon model yoyote ile wao wataiita ni taxi tu.Waswahili tutaishia kuzitamani kwenye picha, hatuna barabara kwa ajili ya gari hizo. Halafu sijui ni unyakyusa/usukuma (ushamba) umenitawala! Napenda sana gari za juu
Wabongo bhna😂😂No matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!!
Bugatti na Lamborghini utadhani banda la kukuNa kina bugatti nao wamebaki wakishangaa mkuu..!?
Sema tu huna hela ya kununua 😀😀.. utaishia tu kununua hayo hayo ma Ranger Rover Sport na kilimo kwanzaBugatti na Lamborghini utadhani banda la kukuView attachment 1640372
Jina FERRARI linatisha, huwezi linganisha TECNO na IPHONE.Inakuwaje wanajamvi!
Toyota ni nouma yani sheeda hatari Aisee. Watu wanaidharau sana Toyota. Mjapan akaamua kuwanyamazisha watu. Katoa kitu kikali sana ambacho Kilianza kutumika July 2020 ni Lexus Lc 500 convirtable 'sexy car' yani ukiimiliki hii demu yeyote hachomoki.
Kina Ferrari, Porsche, Lamborghini yamebaki yakishangaa. Sipendi sports car Ila hii ya Aisee.
View attachment 1544336View attachment 1544337View attachment 1544338View attachment 1544347View attachment 1544348
Toyota ni kampuni kubwa duniani kuanzia ulaya, America na Asia huko kote Toyota anauza Magari yake...No matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!!