Uko kama watoto wachanga. Walio wengi, watoto hawa huwa hawapendi kubebwa na mtoto mdogo (mfupi) aliyefikia rika la kubeba watoto, wakati kuna mtu mzima (mrefu kuliko watoto). Akibebwa na mtoto mwenzake analia, halafu mkubwa akimbeba ananyamaza. Issue hapa ni kwamba hapendi kubebwa halafu akawa anajiona yuko chini, anataka abebwe na mkubwa ili awe juuWaswahili tutaishia kuzitamani kwenye picha, hatuna barabara kwa ajili ya gari hizo. Halafu sijui ni unyakyusa/usukuma (ushamba) umenitawala! Napenda sana gari za juu
Ume krem vibaya sana .. Kwan huawei origin ake kuwa china kuna tatizo ganiNo matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!
Hio ni Lexus wewe kifua V8 sprints 0-60 under 5 secondsNo matter what, bado itabaki kuwa Toyota tu!!! Ni kama Huawei tu... hata iuzwe kwa 10M, bado itabaki kuwa simu ya Kichina tu, period!!!
Wahuni wamemwagika πππ
Hio gari iko bongo, nishaionaga hotridesππ½ na sisi tusiokuwa na uwezo wa kununua hayo magari tuna reply wapi
ila ingekuwa bmw mkundu ungepwita hapoπOnce toyota always toyota
Bima mziki mwingineila ingekuwa bmw mkundu ungepwita hapoπ
Hio mashine ina 5.0L V8 engine yenye Twin Turbo, horses 467, yani ni mashine ya kwenda kweli kweli no jokes. Inafungua kichizi.Utakuta hiyo sports car yao wamefunga injini 1zz au 1az, sports ya toyota ninayoilewa ni supra peke yake yenye 2jz gte
Cha ajabu BMW kibao zinakaa kwa huyo mnyama hapo.Bima mziki mwingine
Kasumba, hapo walitaka wasikie ni BMW ndio inasifiwaWabongo bhnaππ
hizo gari zinashepu kama viatu vya kanye westπBugatti na Lamborghini utadhani banda la kukuView attachment 1640372
Mnachafua, mnakera, mnaboa nyie mazombie, wewe umeshindwa kwenda kufungua mada yako kule ya kusifu ili mtu unajua kabisa nimefungua mada ya corrido za lumumba elfu7 ??!!, mwenzako amefungua mada yake nasi tunafuatilia kwa kuangalia heading wewe unachomeka uharo hapa, !! hivi akili zenu huwa zinakalia wapi ??Hongera sana kwa Rais wetu Joseph John Pombe Magufuli kwa juhudi zako.
π π huyo atakuwa ni wa ubalozini si m-bongo kisioHio gari iko bongo, nishaionaga hotridesπ
Wana enjoy maisha.. dereva itakuwa walitia makwenzi πππWahuni wamemwagika πππ
Zinakalia kwny maziwa ya shangazi zako kunguni weweMnachafua, mnakera, mnaboa nyie mazombie, wewe umeshindwa kwenda kufungua mada yako kule ya kusifu ili mtu unajua kabisa nimefungua mada ya corrido za lumumba elfu7 ??!!, mwenzako amefungua mada yake nasi tunafuatilia kwa kuangalia heading wewe unachomeka uharo hapa, !! hivi akili zenu huwa zinakalia wapi ??
Daah bora usifanikiwe kumiliki hicho chuma tu kama unaenda kusikiliza singeli humo ndani.Mbona haujatoa ufafanuzi wa kilomita ngapi kwa lita ngapi!!!!!
Siku nikimiliki hii chuma ndani ni Singeli tu, #Chura super star