Toyota Land Cruiser 300 Series iko tayari kwa ajili ya kuendelea kuadabishana mjini

Mbona imekaa kama probox [emoji3]

Dah sema 800HP hizo zitakua fujo sasa

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Kama unaongelea kimo ..kama ipo chini sana ni kwasababu ya hp 800.

Gari kama hili lenye 800 hp automatically watu wanlitakia speed so linabidi lishushwe ili liwe stable zaidi.

Ila 800hp dah

Kama nyingi hv kwa suv
 
Wajapan hakuna kitu-alisikika mlevi mmoja aliyekunywa viroba vya diamond huku akichanja Gomba.

Mamamae πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,chuma hicho.
Waache waponde tu, jamaa ameamua kurudisha heshima yake ambayo watu walimpora na kujitapa kuwa gari zake ni za wastaafu!
 
Mlio wa kibabe wa 4.5l twin turbo diesel ndio unaenda kupotea hivyo
 
ukiwa nayo ntakunya kuanzia hapa mpk huko wanapotengeneza..unitaarifu tuπŸ˜€
anza kunya mapema kwasababu kwa msaada wa MUNGU wa Ibrahim Isaka na Yakobo, ndani ya miaka hii miwili nitakalia hiyo gari. amini usiamini.
 
ZX ni petrol engine ni 1UR-FE HP-318 ila pamoja na horse power hiyo bado dashboard inasoma 180kph!

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa sijui hili dude likija tutalipa also known as gani?! Maana 200 series ilibamba kama "kilimo kwanza" tukamalizia na "Vieiti". Hii Visiksi" haitonoga kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…