Car4Sale Toyota Land Cruiser Hardtop 160,000,000/= (With full registration)

14km/L imekuwa IST?
Punguza Ubishi na Ujuaji mkuu, ni kweli alichosema mdau, mfano hiyo Kruza inakupa Km 10 kwa lita 1 ya Diesel vzuri kabisaaaa kama unazingatia service. Hizi gari tusiziogope mkuu, huo ndio ukweli.
 
Yes naona bei ipo sawa kabisa

ila hiyo sio Toyota land cruiser hardtop hiyo ni Land cruiser LX

Hardtop ni ile ya milango Mi3 iyo ya milango 5 ni LX
 
Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE)? Gari lilifikaje hapo lilipo? Au hapo lilipo ni kiwandani? Gari ni nzuri ila mtoa mada afute kauli ya Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE) tafadhali.
Mwisho kabisa hiyo sio Toyota land cruiser hardtop hiyo ni Land cruiser LX.
 
Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE)? Gari lilifikaje hapo lilipo? Au hapo lilipo ni kiwandani? Gari ni nzuri ila mtoa mada afute kauli ya Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE) tafadhali.

Msibishe vitu ambavyo hamvijui, kuuza magari nayo ni taaluma.

kwa hiyo unataka useme lina 14km so ni used??

hata ikiwa na 50 KM hiyo ni 0 Km. Hiyo gari haijawahi tumika wala milikiwa KM za kutoa bandarini kwenda yard za nn sasa


hata ikiwa na na 99km Bado ni 0 KM zaidi ya hapo ndo mambo mengine.
 
Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE)? Gari lilifikaje hapo lilipo? Au hapo lilipo ni kiwandani? Gari ni nzuri ila mtoa mada afute kauli ya Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE) tafadhali.
Mwisho kabisa hiyo sio Toyota land cruiser hardtop hiyo ni Land cruiser LX.

Je kama imebebwa mpaka hapo?
 
Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE) ni gari ambalo halijagusa aridh maana yake liko kiwandani na haliruhusiwi kukanyaga chini. Linabebwa hadi show room.
Muuzaji wa Toyota Mileage: 0KM(ZERO KILOMETRE) ni TOYOTA TANZANIA na sio madalali.
Hiyo ni used car hata kama imetembea Km 1.
 
Gari kisheria likitembea km 1 ni USED
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…