mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mwaka mzima sijapiga kazi kutokana na mambo ya serikali napiga issue nyingine
Nasubiria wenye nchi wafungue
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mzima sijapiga kazi kutokana na mambo ya serikali napiga issue nyingine
Mkuu Baridi ya Mgeta balaa. Umenikumbusha Mgeta Kibaoni, Lolo na Bunduki na ule mlima wa kuingia Mgeta dereva mzembe lazima alie pale.Nyandila......mpk lolo juu kbsa hko
Kwenye baridi asubuhi nyagi unapiga kama juice [emoji23] [emoji23] mdudu wa kumwaga hko
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Magubike kuna watu wa sound kama wamezaliwa Dar.Stori nyingiii hko sound ila mm nlikuwa nawamudu maana bampa to bampa
Sehemu nyingine ina watu wa sound ni magubike dahhh
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma!kwa dereva wa mjini hko hakuweziMkuu Baridi ya Mgeta balaa. Umenikumbusha Mgeta Kibaoni, Lolo na Bunduki na ule mlima wa kuingia Mgeta dereva mzembe lazima alie pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile milima ukiwa unapanda Land Cruiser 1hz ni raha sana. Kuna siku tulikuta jamaa kakwama na Nissan Hardbody Mgeta maeneo ya Bunduki Stout zimebeba Kabeji na Ndizi zinatoboa kibishi jamaa na STK akalala mpaka kesho.Noma!kwa dereva wa mjini hko hakuwezi
Hko watuachie vichwa ngumu sisi
Baridi ndy kwake .......
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ulipotamka kabeji umenikumbusha mbali inachekesha na kusikitishaIle milima ukiwa unapanda Land Cruiser 1hz ni raha sana. Kuna siku tulikuta jamaa kakwama na Nissan Hardbody Mgeta maeneo ya Bunduki Stout zimebeba Kabeji na Ndizi zinatoboa kibishi jamaa na STK akalala mpaka kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliona jnsi bangi inavyoota hukoIle milima ukiwa unapanda Land Cruiser 1hz ni raha sana. Kuna siku tulikuta jamaa kakwama na Nissan Hardbody Mgeta maeneo ya Bunduki Stout zimebeba Kabeji na Ndizi zinatoboa kibishi jamaa na STK akalala mpaka kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi ya kutosha, na kwa mara ya kwanza nikakuta Mgeta kuna supu ya mdudu.
Mdudu wako wa kutosha .....bei cheeeeBangi ya kutosha, na kwa mara ya kwanza nikakuta Mgeta kuna supu ya mdudu.
Kule inabidi kuwa makini ng'ombe wanachinja mara chache sana pale karibu na Lolo kituo cha polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku sitosahau mwaka 2009 nilikuwa nimeenda Moro town nikawa nimechelewa gari za Kilosa. Nikapanda gari mpaka Melela pale njia panda ya Kilosa kupita Mkata Ranchi.Mdudu wako wa kutosha .....bei cheeee
Ile ihz nlikuwa nazurura nayo sana
Nlikuwa naendaga mpk magere,berega,mbili,hadi idibo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiyo njia nishaipita sana melela unaingia hadi palakuyo unatokea junction ya kwenda kushoto kimamba na kulia unakwenda rudewa batiniKuna siku sitosahau mwaka 2009 nilikuwa nimeenda Moro town nikawa nimechelewa gari za Kilosa. Nikapanda gari mpaka Melela pale njia panda ya Kilosa kupita Mkata Ranchi.
Mida ya saa 12 ikatokea Land cruiser pick up ya watu wa madini ikatupakia nilikuwa na Masai wawili wanashuka Palakuyo.
Gari ilipigwa gia mpaka kila mtu akawa ameshikilia bomba wale jamaa wa madini na ile njia ina rasta na vumbi wapo busy kuvuta sigara.
Masai waliposhushwa Palakuyo wamejaa vumbi kichwani na usoni, mmoja ilibidi aende kwa dereva na kukubali mziki wa Land Cruiser kama dereva yupo tayari wafanye biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah kaka kumbe mwenyeji sana. Hiyo milima watu walikuwa wanaenda kusaka Ruby.Duh [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiyo njia nishaipita sana melela unaingia hadi palakuyo unatokea junction ya kwenda kushoto kimamba na kulia unakwenda rudewa batini
Hapo nlikuwa napita hadi gongoni nkifika gongoni nakunja kushotooo napandaa nayo hadi milima ya unone (maumba)
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nilikuwa natokea mgodini matale huko kisanga wakati kulikuwa na bonge la mvuaaaa sasa kulikuwa na kiji mto huwa kina jaa maji nikawa nawahi Dah Kufika pale majiKuna siku sitosahau mwaka 2009 nilikuwa nimeenda Moro town nikawa nimechelewa gari za Kilosa. Nikapanda gari mpaka Melela pale njia panda ya Kilosa kupita Mkata Ranchi.
Mida ya saa 12 ikatokea Land cruiser pick up ya watu wa madini ikatupakia nilikuwa na Masai wawili wanashuka Palakuyo.
Gari ilipigwa gia mpaka kila mtu akawa ameshikilia bomba wale jamaa wa madini na ile njia ina rasta na vumbi wapo busy kuvuta sigara.
Masai waliposhushwa Palakuyo wamejaa vumbi kichwani na usoni, mmoja ilibidi aende kwa dereva na kukubali mziki wa Land Cruiser kama dereva yupo tayari wafanye biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hadi kilosa lumbiji nmetimba milimani kule unaingilia ilonga msalabani au rudewa ple batini unaipita shule secondari unapanda juu....Aaah kaka kumbe mwenyeji sana. Hiyo milima watu walikuwa wanaenda kusaka Ruby.
Kuna kijiji kilikuwa kinaitwa Kidong'we watu wa Ruby walikuwa wanaenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro kama ulikuwa unatumia Land Cruiser ya watu wa madini. Kuna siku baiskeli ilikata mnyororo na pancha tairi ya mbele sina hela ya kuunga mafundi wa Ilonga wanataka hela na mimi sina.Duh [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hiyo njia nishaipita sana melela unaingia hadi palakuyo unatokea junction ya kwenda kushoto kimamba na kulia unakwenda rudewa batini
Hapo nlikuwa napita hadi gongoni nkifika gongoni nakunja kushotooo napandaa nayo hadi milima ya unone (maumba)
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh....mm nlikuwa natumia pick up nyeupe ilikuwa bado imesimama mbele ina ngao na ina Antena ndefuuuu mbeleBro kama ulikuwa unatumia Land Cruiser ya watu wa madini. Kuna siku baiskeli ilikata mnyororo na pancha tairi ya mbele sina hela ya kuunga mafundi wa Ilonga wanataka hela na mimi sina.
Nikawa nimetulia pale kwenye nyumba ya mwenye gari za Mtandao ikatokea Land Cruiser ya watu wa madini wakanipakia na baiskeli yangu mpaka Rudewa darajani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko mwenyeji sana....hata kulipotokea yale mapigano ya wakulima na wafugaji watu walichinjana sana Nlikuwa mlimaniAaah kaka kumbe mwenyeji sana. Hiyo milima watu walikuwa wanaenda kusaka Ruby.
Kuna kijiji kilikuwa kinaitwa Kidong'we watu wa Ruby walikuwa wanaenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hicho wazee mlikuwa mnaenda weekend pale Babylon Kilosa mjini kutumia nje unakuta vyuma vimepaki.Huko mwenyeji sana....hata kulipotokea yale mapigano ya wakulima na wafugaji watu walichinjana sana Nlikuwa mlimani
Kwenye kusepa tulipasua njia za ndani kwa ndani tukatokea gairo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app