Toyota landcruser Pickup ina nini mpaka iwe bei kubwa?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babylon tushalewa sana ila pale batini kwa mama Rama ndy usiseme
Si unajua life ya pori lazima ulanduke

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama naona jinsi ulivyofaidi shombe shombe na waarabu koko wa Kimamba na Kilosa mjini.

Haya maisha sio fair kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi ni mtungi basiii [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kile nilisikia kuna jamaa wa madini kule Kilosa alikuwa akienda baa na wapambe anaacha Land Cruiser ikiwa silence wakati wanapiga pombe.

Na kuna muda wapambe wanapewa kreti za bia wanasafisha gari yote kwa kutumia bia tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh ......mambo ya kishamba hayo
Tunduru ndy walikuwa wanafanya hivo zaidi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh Offshore Seamen na mrangi mmemikumbusha hako kaMji ka Mjerumani vilima vyake vya madini vitongoji vya Manzese, Magomeni, Mkadage na sasa wameingia waTuruki wakichimba reli Mwendo kas, siisahau Golden Folkya Waziri na vimwana wa Kilosa bila gari ya kazi huendeshi barabara za huko na huvipandi vilima vyake
 
shida ya waswahili baada ya kujibu swali wanaanza mastory mengine jibuni swali watu tujifunze
wewe na mwenzio mtakuwa zao la shule za mtakatifu flani, mpewe majibu hamtaki jisomea.

mbona majibu yako wazi humu ama mnataka wayaandike kama point
 
wewe na mwenzio mtakuwa zao la shule za mtakatifu flani, mpewe majibu hamtaki jisomea.

mbona majibu yako wazi humu ama mnataka wayaandike kama point
basi sawa 😉
 
Cheki moja ya sababu ya bei kubwa...

mm nimeshangaa mnyororo wa kumvutia mbwa ?
bora bomba ningeamini hebu tumieni Principal ya acceleration Mass x velocity
basi hata ng'ombe wangu wa kulimia watalivuta hilo lilori
 
Umeongea point kaka. Inabidi watu waangalie na makampuni mengine sio Toyota tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta uzi anauliza landcruiser watu wanaelezea landrover.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…