Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Huo mzigo utalinganisha na X5 ya mwaka 2016. Utakua sio mzima kichwani wwUnadaka X5 moja kali sana. Tena ya 2016 tu. Kwa nusu bei. Hafu mkipaki bado unaonekana wewe mjanja. Mwenye LC inaonekana ya Serikali.