Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Onesha picha za ubavu wa mbele na nyuma.kadi ya gari ipo mkuu
kama umeipenda chombo njoo uchukue itakusaidia kusogeza watoto shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onesha picha za ubavu wa mbele na nyuma.kadi ya gari ipo mkuu
kama umeipenda chombo njoo uchukue itakusaidia kusogeza watoto shule
Taarifa zake ziko wazi mkuu hata picha zinaonesha gari namba B.Ina namba ipi c au d au muhenga T... AAG
Toyota passo inauzwa kwa bei poa
Engine cc 990
Year made 2004
Rangi: Grey
iko full AC yani hamna tabu
Bei: milioni 2 na laki 6 tu.
Gari iko kimara
nicheki 0683011003 tumalize biashara
HahahHaha! AiseeKama unataka kusafisha nyota ya kuanzia maisha ya kumiliki gari hii chuma ndo haswaa inafaa.
Umenishtua mkuu, hii biashara ina mafumboDahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Wakikuelewa uniite.Kama unataka kusafisha nyota ya kuanzia maisha ya kumiliki gari hii chuma ndo haswaa inafaa.
Ndio ulifumbue hilo fumbo...😂😂
Sawa mkuukadi ya gari ipo mkuu
kama umeipenda chombo njoo uchukue itakusaidia kusogeza watoto shule
Hii gari itakuwa na matatizo, tango la nini hapo sasa, ona mpaka zipu ya mkoba ni mbovu piaDahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Kwan huo mguu katika pedo huko chini Ni wa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani?????Dahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Mkuu, hapa nimefanya kuzoom inn hizi picha....[emoji41][emoji41][emoji41]Kwan huo mguu katika pedo huko chini Ni wa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani?????
Na mashaka na Hilo tango nikiangalia na Aina vidole na hcho kivaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu, hapa nimefanya kuzoom inn hizi picha....[emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1612530View attachment 1612531
Mkuu kwahiyo wewe umeamua kubadilisha biashara unataka paja badala ya gariHicho kipaja bei gan mkuu?